Kwa kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.
Katikati ya uhasama usiothamini tena maisha ya watu wengine, Urusi iliingizana G20 mkutanoni na kichekesho cha mwaka:
View attachment 2537591
Kumbe Urusi inapambana kuisimamisha vita iliyoanzishwa na Ukraine dhidi yake. 🤣🤣
Kwamba huo haswa ndiyo uelewa wa akina Yericko Nyerere na wale warusi wa pale Buza.
Ama kweli duniani hakutaisha vituko.
Mkuu, you are better than that!Viongozi wa Russia ni kama watumia mihadarati.
Kwa kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.
Katikati ya uhasama usiothamini tena maisha ya watu wengine, Urusi iliingizana G20 mkutanoni na kichekesho cha mwaka:
View attachment 2537591
Kumbe Urusi inapambana kuisimamisha vita iliyoanzishwa na Ukraine dhidi yake. 🤣🤣
Kwamba huo haswa ndiyo uelewa wa akina Yericko Nyerere na wale warusi wa pale Buza.
Ama kweli duniani hakutaisha vituko.
Kwa hili uko wrong side!Warusi wa Buza wanatoa tafsiri zao, sijui hawaoni matini halisi!!? 😁
Hata wewe unaamini Urusi ndio iliyovamiwa ?Kwa hili uko wrong side!
Hujui hata kusoma ns hujaelewa kituKwa kweli akili ni nywele na kila mtu ana zake.
Katikati ya uhasama usiothamini tena maisha ya watu wengine, Urusi iliingizana G20 mkutanoni na kichekesho cha mwaka:
View attachment 2537591
Kumbe Urusi inapambana kuisimamisha vita iliyoanzishwa na Ukraine dhidi yake. [emoji1787][emoji1787]
Kwamba huo haswa ndiyo uelewa wa akina Yericko Nyerere na wale warusi wa pale Buza.
Ama kweli duniani hakutaisha vituko.
Ebu soma hiyo habari nimeweka hapo juu ili uelewe context ya vita ya Ukraine. Kwa ufupi, vita imepikwa na marekani kwa lengo la kutaka kuidhoofisha urusi ili waweze kuitawala dunia kwa urahisi kupitia kitu kinaitwa New World Order! Urusi wameingia vitani ili kujihami!Hata wewe unaamini Urusi ndio iliyovamiwa ?
Chanzo cha hiyo habari kinajulikana mrengo wake, ni vigumu kuaminika.Ebu soma hiyo habari nimeweka hapo juu ili uelewe context ya vita ya Ukraine. Kwa ufupi, vita imepikwa na marekani kwa lengo la kutaka kuidhoofisha urusi ili waweze kuitawala dunia kwa urahisi kupitia kitu kinaitwa New World Order! Urusi wameingia vitani ili kujihami!
Pole mtoa mada, nadhani hiyo kauli ya kiusalama imezidi uwezo wako wa kufikiri kwa mbaaaali sana.