Yani wewe mtoa mada inaelekea kwenye masuala ya kimataifa ni bwege mtozeni kabisa. Kama huwezi kuelewa ni nini Lavrov anamaanisha kwa kusema hivyo, sijui kama sisi tunaweza kukuelewesha.
Yani wewe mtoa mada inaelekea kwenye masuala ya kimataifa ni bwege mtozeni kabisa. Kama huwezi kuelewa ni nini Lavrov anamaanisha kwa kusema hivyo, sijui kama sisi tunaweza kukuelewesha.
Hope kila MTU asome hiki ulichokiandika, niliwahi kusema huko nyuma kuiangusha Nchi iliyopo vizuri kijeshi ni ngumu kuliko kuiangusha Nchi iliyopo vizuri kiuchumi both USA na Russia wanajua siri hiyo ndio.Inaelekea wewe ni shabiki wa vyombo vya habari vya magharibi, ambavyo kwenye hii vita viko biased kuliko kawaida!
Kuhusu China vs Russia nani aanze kudhoofishwa, hilo ni suala la choice of priority kwa marekani. Russia amekuwa mpinzani wa marekani kwa masuala ya kivita kwa muda mrefu, kwa hiyo kudhoofisha Russia kwanza kabla ya China makes more sense. Ukiidhoofisha Russia kiulinzi na kiuchumi (kwa vikwazo), unabaki na adui mmoja tu ambaye ni China, yeye ni weak kiulinzi, unapambana naye kiuchumi kwa urahisi! Upo hapo?
Unawajua vema hao waliomcheka? Unacheza mziki wa magharibi sio!? Pole sana, endelea kulala fofofo.Kwamba waliomcheka Lavrov kule G20 wako kwenye udaku ila wewe Hapo Kwa Mpalange? Hata kujihurumia kidogo ndugu? Yaonyesha imekuuma sana? Pole lakini.
Upande uliko wewe ni kwa wadau wa upinde. Pinga hilo!!Huko si ndiko kwenu? Kwani umekujua he vile? Mnaokutana huko kwani hamfahamiani?
Inataka akili kubwa kumwelewa Lavrov.
Ukiwa na akili kisoda kama mleta mada hautamuelewa huyu mzee
Bukoba uliko wewe ni kwa wadau wa upinde. Pinga hilo!!
Unawajua vema hao waliomcheka? Unacheza mziki wa magharibi sio!? Pole sana, endelea kulala fofofo.
Wahindi wamemcheka Lavrov maana hawakutegemea kama ni commedian mzuri namna hiyo.
Zelenski entered into politics as comedian and turned to be a strong political person while Larov started as politician but has now turned into comedian [emoji3]
Hujui hata kusoma ns hujaelewa kitu
😂😂 kumbe umejua kuwa wewe ni mbuzi wa buza
Ni kweli akili ni nywele kila mtu ana zake - yaani huna hata chembe ya kutambua kwamba hiyo ni digitally manipulated video clip iliyo ungwa ungwa na wahuni wa CNN yenye lengo la propaganda za kujaribu kudhalilisha Mzalendo Lavlov na Urusi, kitu cha kwanza Lavlov anaheshimika Dunia nzima save majangili ya Uongozi wa Kimerikani na Ulaya ambao yamepania hata kuanzisha WW3 kuliko kuaibika kwa kushindwa vibaya sana na Urusi kwenye vita inayo endelea huko Ukraine hivi sasa - peza zao zinaendelea kuliwa na wajanja na Ukraine inajulikana Dunia nzima kwa kuwa ni kinara wa kula rushwa na mambo mengine ya kihuni, silaha wanazopewa asilimia kubwa zimekwisha tiwa kibereti na jeshi la Russia, nyingine Waukraine wajanja wanawauzia Warusi ili wazichunguze kwa kina mfano: Rocket hizi za HIMARS na launchers zake - ndio maana siku hizi Roketi za HIMARS zinatunguliwa kama nzi, hazitambi tena Mrusi kesha zipatia panadol, malori ya ma launchers yanafichwa sana kwenye misitu minene ili yasionekane, yanatolewa usiku wa manane zakionekana tu kamikaze Drones za Urusi zinazitia kiberiti, hali ngumu sana - NATO ali under estimate uwezo wa Urusi kustahimili vita hii kwa muda mrefu bila ya kuteteleka kwenye masuala ya silaha na wanajeshi.Warusi weusi wanakuambia Urusi imefanya 'pre-emptive strike'..... hatari sana hawa jamaa
Bukyanagandi Yoda dudus 1954 Nyamizi TUJITEGEMEE
Kichuguu
Ni kweli akili ni nywele kila mtu ana zake - yaani huna hata chembe ya kutambua kwamba hiyo ni digitally manipulated video clip iliyo ungwa ungwa na wahuni wa CNN yenye lengo la propaganda za kujaribu kudhalilisha Mzalendo Lavlov na Urusi.Warusi weusi wanakuambia Urusi imefanya 'pre-emptive strike'..... hatari sana hawa jamaa
Bukyanagandi Yoda dudus 1954 Nyamizi TUJITEGEMEE
Kichuguu
Mtoa mada ebu soma hiyo habari labda itakusaidia kujua context ya kauli ya Lavrov. Nina assume unajua hiyo lugha.
Western Officials Admitted Involvement in Ukraine Conflict, Says Serbian President
Serbian President Aleksandar Vucic said Western officials, in conversations with him, admitted involvement in the conflict in Ukraine and increasing pressure on Serbia due to Belgrade's refusal to support anti-Russian sanctions.sputniknews.com
Zakukutosha utakuwa wewe?Wewe na wale waliocheza haziwatoshi kabisa. Unatakiwa utafakari upya alivyokuwa anamaanisha.
Kuna watoto wengi sana humu japo siyo kiumri hawayajui haya mambo.
Pengine ni kwakuwa tu wanaweza kuandika ndiyo maana wanaandika.
NJe ya kuandika hawajui kuwa Ukraine anatumiwa na anatumika kwerikweri 🤣🤣🤣🤣🤣
Kumbe mmewasikia wakicheka? Hata commentator kacheka labda hata Lavrov. 🤣🤣The war in Ukraine was launched against Russia. Ndio ukweli,hata waliocheka wanajua.
Kwahiyo kuwepo kwa mchina ndio kuna justify hoja yako. Kwanini unashindwa kutumia akili yako ipasavyo. Sio kila mchina ni mchina