Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwani lazima usome sheria someni hata Mechanics au logistics mbn zinapesa nyingi kuliko hata iyo sheria...
TLS
Nadhani ndio Mapendekezo ya Kamati ya MwakyembeAma kweli staajabu ya Mussa.
View attachment 2429604
Inatia kichefuchefu kuwa ada ya mwaka LST imepandishwa maradufu bila sababu.
Haya ni matokeo ya kuwaacha mabaradhuli kutamalaki na kauli zao kama hizi:
1. Sheria si kwa Kila mtu.
2. Pass mark sheria zipandishwe.
Kwani Kila mtu anaweza kuwa mhandisi, dereva, nurse, mhasibu, rubani, mwalimu nk?
Kwamba pass mark kusoma law zipandishwe? Kwanini pass mark za awaye yote ziwe chini? Kwanini tusizungumzie pass marks za kada zote kupanda?
Kwani sheria ina impact au umuhimu gani wapi chini au juu ya jua?
Ni upumbavu uliopitiliza kuwaacha watu wenye mawazo duni ya kujidhania kuwa wana umuhimu mno katika jamii kuendelea kutukosea adabu kiasi hiki hadharani.
Kwa gharama zipi za uendeshaji ada Law school ya Tanzania kuwa juu kuliko za kusomea hata kada nyingine muhimu zaidi kwa maisha ya binadamu?
Ushahidi wa wazi kuwa tume za maana ni zilizo huru ama za kimataifa kama za Ile ndege ya precision.
Pia ushahidi wa wazi kuwa ya Mwakyembe ni upigaji kama upigaji mwingine.
Ama kweli staajabu ya Mussa...
Kabla ya kupata ufumbuzi kuhusu wanafunzi wengi wa Law School kufeli wamepandisha ada!! Nchi ya ajabu Sana hii!
Udaktari ada milioni tano kwa mwakaConsumers protection Ina maana yoyote kwako?
Uliyaona haya kabla ya kukurupuka?
"Kwa gharama zipi za uendeshaji ada Law school ya Tanzania kuwa juu kuliko za kusomea hata kada nyingine muhimu zaidi kwa maisha ya binadamu?"
Inaelekea kufika Million 7 siku si nyingi, na uko mbon hawalii machozi huwezi achaUdaktari ada milioni tano kwa mwaka
BORA IPANDE VIHIYO NI WENGIAma kweli staajabu ya Mussa.
View attachment 2429604
Inatia kichefuchefu kuwa ada ya mwaka LST imepandishwa maradufu bila sababu.
Haya ni matokeo ya kuwaacha mabaradhuli kutamalaki na kauli zao kama hizi:
1. Sheria si kwa Kila mtu.
2. Pass mark sheria zipandishwe.
Kwani Kila mtu anaweza kuwa mhandisi, dereva, nurse, mhasibu, rubani, mwalimu nk?
Kwamba pass mark kusoma law zipandishwe? Kwanini pass mark za awaye yote ziwe chini? Kwanini tusizungumzie pass marks za kada zote kupanda?
Kwani sheria ina impact au umuhimu gani wapi chini au juu ya jua?
Ni upumbavu uliopitiliza kuwaacha watu wenye mawazo duni ya kujidhania kuwa wana umuhimu mno katika jamii kuendelea kutukosea adabu kiasi hiki hadharani.
Kwa gharama zipi za uendeshaji ada Law school ya Tanzania kuwa juu kuliko za kusomea hata kada nyingine muhimu zaidi kwa maisha ya binadamu?
Ushahidi wa wazi kuwa tume za maana ni zilizo huru ama za kimataifa kama za Ile ndege ya precision.
Pia ushahidi wa wazi kuwa ya Mwakyembe ni upigaji kama upigaji mwingine.
Mkopo 100% , Law School hakuna mkopoUdaktari ada milioni tano kwa mwaka
Hakuna kitu kama hicho wachache hupewa mkopo ambao ada mtu hupewa mkopo milioni moja laki tatu milioni 3 laki saba unalipa mwenyewe hapo bado viti kibaoMkopo 100% , Law School hakuna mkopo