Law school of Tanzania yapandisha ada na gharama nyingine, kutoka 1,570,000/= mpaka 2,950,000/=

Law school of Tanzania yapandisha ada na gharama nyingine, kutoka 1,570,000/= mpaka 2,950,000/=

Sasa kwani lazima usome sheria someni hata Mechanics au logistics mbn zinapesa nyingi kuliko hata iyo sheria...
 
Hapa itabidi tuanze kuwakopesha wanaoenda kusoma akitoka unamfungulia kijiwe mnagawana kinachopatikana akimaliza kulipa deni mnamalizana basi , maana hakuna namna
 
[emoji23] tunapoelekea ikifika 2025 vyuo vya tz vitakuwa vinabembeleza watu wasome.maana wimbi la wasomi limekuwa kubwa na ajira hakuna.bora hiyo pesa kufanyia miradi maisha yakwende
 
[emoji28][emoji28] ichi chuo kina ongozwa na ma profesa ambao ata uwezo wa kutumia elimu zao wame shindwa ..una ongezaje zaidi ya 1+ million gafra ivyo,hili walio jipanga kwenda intake ya January wasiende au hata ilo la kulipa ada yote kwa wakat mmoja ni ujinga tu
 
Sasa kwani lazima usome sheria someni hata Mechanics au logistics mbn zinapesa nyingi kuliko hata iyo sheria...

Consumers protection Ina maana yoyote kwako?

Uliyaona haya kabla ya kukurupuka?

"Kwa gharama zipi za uendeshaji ada Law school ya Tanzania kuwa juu kuliko za kusomea hata kada nyingine muhimu zaidi kwa maisha ya binadamu?"
 
Mbon ndogo hio, mnalia million 2 na laki 9?, huna nenda kasomee mechanics achana na sheria
 
Tanzania ndio Nchi inayoongoza kwa kukwamisha Raia wake upande wa Elimu mpaka wasomi nao ndio wanaongoza daah inasikitisha sana...
 
Ama kweli staajabu ya Mussa.

View attachment 2429604

Inatia kichefuchefu kuwa ada ya mwaka LST imepandishwa maradufu bila sababu.

Haya ni matokeo ya kuwaacha mabaradhuli kutamalaki na kauli zao kama hizi:

1. Sheria si kwa Kila mtu.
2. Pass mark sheria zipandishwe.

Kwani Kila mtu anaweza kuwa mhandisi, dereva, nurse, mhasibu, rubani, mwalimu nk?

Kwamba pass mark kusoma law zipandishwe? Kwanini pass mark za awaye yote ziwe chini? Kwanini tusizungumzie pass marks za kada zote kupanda?

Kwani sheria ina impact au umuhimu gani wapi chini au juu ya jua?

Ni upumbavu uliopitiliza kuwaacha watu wenye mawazo duni ya kujidhania kuwa wana umuhimu mno katika jamii kuendelea kutukosea adabu kiasi hiki hadharani.

Kwa gharama zipi za uendeshaji ada Law school ya Tanzania kuwa juu kuliko za kusomea hata kada nyingine muhimu zaidi kwa maisha ya binadamu?

Ushahidi wa wazi kuwa tume za maana ni zilizo huru ama za kimataifa kama za Ile ndege ya precision.

Pia ushahidi wa wazi kuwa ya Mwakyembe ni upigaji kama upigaji mwingine.
Nadhani ndio Mapendekezo ya Kamati ya Mwakyembe
 
Kabla ya kupata ufumbuzi kuhusu wanafunzi wengi wa Law School kufeli wamepandisha ada!! Nchi ya ajabu Sana hii!

Ufumbuzi ulipatikana, moja ni kuchuja wanafunzi wanaoingia Law School.
 
Consumers protection Ina maana yoyote kwako?

Uliyaona haya kabla ya kukurupuka?

"Kwa gharama zipi za uendeshaji ada Law school ya Tanzania kuwa juu kuliko za kusomea hata kada nyingine muhimu zaidi kwa maisha ya binadamu?"
Udaktari ada milioni tano kwa mwaka
 
Ama kweli staajabu ya Mussa.

View attachment 2429604

Inatia kichefuchefu kuwa ada ya mwaka LST imepandishwa maradufu bila sababu.

Haya ni matokeo ya kuwaacha mabaradhuli kutamalaki na kauli zao kama hizi:

1. Sheria si kwa Kila mtu.
2. Pass mark sheria zipandishwe.

Kwani Kila mtu anaweza kuwa mhandisi, dereva, nurse, mhasibu, rubani, mwalimu nk?

Kwamba pass mark kusoma law zipandishwe? Kwanini pass mark za awaye yote ziwe chini? Kwanini tusizungumzie pass marks za kada zote kupanda?

Kwani sheria ina impact au umuhimu gani wapi chini au juu ya jua?

Ni upumbavu uliopitiliza kuwaacha watu wenye mawazo duni ya kujidhania kuwa wana umuhimu mno katika jamii kuendelea kutukosea adabu kiasi hiki hadharani.

Kwa gharama zipi za uendeshaji ada Law school ya Tanzania kuwa juu kuliko za kusomea hata kada nyingine muhimu zaidi kwa maisha ya binadamu?

Ushahidi wa wazi kuwa tume za maana ni zilizo huru ama za kimataifa kama za Ile ndege ya precision.

Pia ushahidi wa wazi kuwa ya Mwakyembe ni upigaji kama upigaji mwingine.
BORA IPANDE VIHIYO NI WENGI
Screenshot_20221122-132930_Chrome.jpg
 
Mkopo 100% , Law School hakuna mkopo
Hakuna kitu kama hicho wachache hupewa mkopo ambao ada mtu hupewa mkopo milioni moja laki tatu milioni 3 laki saba unalipa mwenyewe hapo bado viti kibao

Urubani ada zaidi ya milioni 12 kwa mwaka chuo cha Usafirishaji
 
Back
Top Bottom