Kama mke au mume wa mtu ametembea na shemeji yake (binamu/mdogo/rafiki) wa mumewe au mkewe, kosa ni la MKE/MUME - hakuna cha shetani wala ati ''inategemea na situation yenyewe''. Full stop
Nadhani kuna wakati hata huyo SHETANI huwa anashangaa jinsi watu wanavyomsingizia kwa maamuzi yao binafsi.