King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Umeongea mambo ya Msingi sana.
-Wakubwa ndiyo wanapendekeza watoto au ndugu zao waende "Theeth" kwa vimemo
-YouVisisiemu ndiyo candidates wa "Teeth" wanakuwa selected kwa vimemo vya wanasiasa.
-Wachache sana wanaokuwa Picked kutoka JKT/Colleges/Universities.
Yericko Nyerere alishauri sana hiyo taasisi ifanyiwe marekebisho ,naungana na wewe ,wasiingiliwe na wanasiasa ,wadili sana na ujasusi wa kidola na kiuchumi na si ujasusi wa kisiasa(Kufanya mambo ya kisiasa).
-Wakubwa ndiyo wanapendekeza watoto au ndugu zao waende "Theeth" kwa vimemo
-YouVisisiemu ndiyo candidates wa "Teeth" wanakuwa selected kwa vimemo vya wanasiasa.
-Wachache sana wanaokuwa Picked kutoka JKT/Colleges/Universities.
Yericko Nyerere alishauri sana hiyo taasisi ifanyiwe marekebisho ,naungana na wewe ,wasiingiliwe na wanasiasa ,wadili sana na ujasusi wa kidola na kiuchumi na si ujasusi wa kisiasa(Kufanya mambo ya kisiasa).