TANZIA Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia

Hunijuwi sikujuwi. Tafadhali tuheshimiane.

Hiyo ni "social harassment", udhalilishaji wa kwenye mtandao.

Natumai uongozi wa JF wanaliona hili na wanafahamu majukumu yao ya kuzuwia udhalilishaji mitandaoni.
Mapenzi si Udhalilishaji, Kwahiyo nisikueleze hisia zangu? Hebu kuwa na huruma tafadhali

Halafu kukupenda hakuondoi heshima yangu kwako mrembo
 
RIP classmate
 
Bila shaka sio ulozi na mambo ya kiswahili
 
My sister out of curiosity pamoja na maakili yote (ambayo najua unayo). Ila unakatabia cha kumdhihaki β€˜The Genius’ Dr Dorothy Gwajima, nikuulize tu out of curiosity kabisa kwenye kichwa chako unaakili hata ya nusu alizonazo?
Hakuna asiye na akili duniani.

Mwenyezi Mungu hajafanya ubaguzi wa akili. Taofauti ni namna ya kuzitumia tu hizo akili.

hata siku moja usidhani kuwa mjinga hana akili.
 
Hakuna asiye na akili duniani.

Mwenyezi Mungu hajafanya ubaguzi wa akili. Taofauti ni namna ya kuzitumia tu hizo akili.
Una hoja kila kiumbe mwenyezi kampa uwezo wake, faida yake ni namna kila mtu anavyotumia alichopewa (hilo, darsa) kwangu food for thought.

Ila acha kujingalinishq na Dr. MBA na ma-qualification mengine aliyonayo; wewe huna akili za kung’amua maamuzi ya kazi zake za kuja kumtukana mtu ambae kakuzidi.

Will meet you next time, ila wewe huna akili za kujibizana na Dorothy Gwajima hata robo.
 
Ndiyo maana sipendi mamlaka, bora kuendelea kuwa mfanya biashara jamani. Bora angebaki na firm yake ya consultancy
Umeandika code niliyotaka kuandika, vijana na wale wenye tamaa na madaraka msikie na kusoma maneno haya.

Ukiweza kufanya mambo yako fanya, ukitaka ya serikalini nenda ila kumbuka kubeba shuka yako wkt wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…