TANZIA Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia

TANZIA Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia

Hawa wengi wao elimu zao za magumashi sema tu wanabebwa na ma Godfather wao wengi wao wamesoma hapo IFM, diploma za Banking wakawa chawa wa maMD waliokuwepo enzi hizo na kukabidhiwa vijiti vya u CEO, utaona mtoa CV hajaandika shule na vyuo alivyosoma, wapo wengi kwenye taasisi za kifedha hasa benki.
Well said. Kuna huyu mkuu wa taasisi ya kusimamia fedha kwa sasa ameungaunga elimu ile mbaya. Haijawahi kutokea tangu uhuru hii taasisi kuongozwa na mtu asiyekuwa na exposure na mwenye CV nyepesi kama huyu.
 
Alikuwa jizi,tu, wala simungunyi maneno,huyu na mkapa, ndio waliuza NBC benk kwa bei ya kutupa, Maghu alimtumbua alipokuwa hazina,kizimkazi, akamrudisha,
TZ is better off without him, he used is expertise to plunder and steal!
Aisee wewe mtoto WA juzi, huyu aliingia sector ya bank mwishoni wa tisini mkapa naingia 1995 ndio kaanza kuuza. It means asingekuwa na maamuzi coz was very junior
 
RIP brother, kwenye moja ya MD's Road Tour,tulipokuwa NBC ulisema,unashangaa sana kuona Ma-Head na Ma-Manager wanalalamika kwa nini wasitoe solutions!? You used to speak "constructive truth" RIP.
 
Back
Top Bottom