TANZIA Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia

TANZIA Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia

Sisi baadhi yetu ni wana CCM damu damu, yaani tunapenda ukweli na ndiyo maana siku zote hatusifii uchawa. Mafuru ni moja ya viongozi ambao inawezekana walitumika kuhujumu uchumi, ni sawa tu na Msechu ni magenge ya wezi. It is the matter of time bosi. Ndiyo maana mi ningekuwa ninajua nimeiba serikali na ninajua kabisa na nilifukuzwa kazi na serikali aisee bora nifanye mishe zangu lakini siyo kurudi mwenye utumishi. Cheki tu viongozi wengi wezi waliosemekana ni wezi ila leo wapo na madaraka, hivi unadhani wahusika wengine hawaoni? Hapo ni scrambles for government resources na ndiyo maana lazima wauane sana!
Mimi nimekuwa mwenyekiti uvccm, katibu uvccm then kiongozi on some circumstances.
●Nowadays, wewe ndo akili zimekurudi then unajua mtu fulani hata kama wa chama changu kuna sehemu anakosea/wrong.
●Mfano ni mkuu wa mkoa wa dar now huwa mara kibao anazingua refer kauli ya mhe raisi akimu reinstate alimuambia "Uache mambo ya kitoto ".
●Ila wewe sasa kwa kipindi kile ulipitiliza uchawa. Ndo kipindi chenu uchawa ulipozaliwa.
●wewe "Mudawote" ndio chimbuko la machawa na kizazi chote cha machawa.
 
Mimi nimekuwa mwenyekiti uvccm, katibu uvccm then kiongozi on some circumstances.
●Nowadays, wewe ndo akili zimekurudi then unajua mtu fulani hata kama wa chama changu kuna sehemu anakosea/wrong.
●Mfano ni mkuu wa mkoa wa dar now huwa mara kibao anazingua refer kauli ya mhe raisi akimu reinstate alimuambia "Uache mambo ya kitoto ".
●Ila wewe sasa kwa kipindi kile ulipitiliza uchawa. Ndo kipindi chenu uchawa ulipozaliwa.
●wewe "Mudawote" ndio chimbuko la machawa na kizazi chote cha machawa.
Yaani super hero1 ningekuwa moderator ningekulamba bani la hata nusu saa ukajifunze adabu. Dkt Magufuli tutaendelea kumtetea na kazi zake! Sisi hatukuwa chawa tuliamua kumsemea kwa ukweli na bado ni royal kwake
 
Yaani super hero1 ningekuwa moderator ningekulamba bani la hata nusu saa ukajifunze adabu. Dkt Magufuli tutaendelea kumtetea na kazi zake! Sisi hatukuwa chawa tuliamua kumsemea kwa ukweli na bado ni royal kwake
Point to note.
Usiwalaumu machawa wa saizi ninyi ndo mliozalisha uchawa enzi zenu.
●Hadi huwa nakuwa na "endless question " juu yako kuwa umepigaje "U-turn"???
●From uchawa to maturity.
 
Ifike hatua mtu akifariki wawe wanaweka wazi Watu Tuogope kufanya Uovu, Kama mtu kafariki kwa Ukimwi isemwe kweli, kafatiki kwa pombe isemwe kweli, acheni kuwa mnasingizia mafua au kisukali wakti Mtu kafariki kwa Ukimwi.
R.I.P Grace Mapunda na Lawrence Mafutu💔💔
Kwa hiyo wewe huwezi kuishi kwa maadili mpaka utishiwe
 
Ifike hatua mtu akifariki wawe wanaweka wazi Watu Tuogope kufanya Uovu, Kama mtu kafariki kwa Ukimwi isemwe kweli, kafatiki kwa pombe isemwe kweli, acheni kuwa mnasingizia mafua au kisukali wakti Mtu kafariki kwa Ukimwi.
R.I.P Grace Mapunda na Lawrence Mafutu💔💔
Afya ya mtu ni jukumu binafsi sio mpaka itangazwe mtu kaungua. Trust none, mpaka umemuita Mafutu
 
RIP brother, kwenye moja ya MD's Road Tour,tulipokuwa NBC ulisema,unashangaa sana kuona Ma-Head na Ma-Manager wanalalamika kwa nini wasitoe solutions!? You used to speak "constructive truth" RIP.
Tuko vizuri kulalama kuliko kuleta suruhu mfano hata humu unaweza kuona keyboard expertise wa kila jambo wapo humu.
 
View attachment 3147717
Lawrence Nyasebwa Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango amefariki Dunia leo Novemba 9, 2024 katika hospitali ya Apollo nchini India.

Rais Samia Suluhu Hassan ameandika katika Mitandao yake ya Kijamii kuhusu Kifo cha Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango,
View attachment 3147755
"Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Bw. Lawrence Nyasebwa Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango kilichotokea leo tarehe 09 Novemba, 2024 katika hospitali ya Apollo nchini India.

Ninatoa pole kwa familia, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji) Mheshimiwa Prof. Kitila Alexander Mkumbo, watumishi wa Tume ya Mipango, ndugu jamaa na marafiki kufuatia msiba huu.

Bw. Mafuru atakumbukwa kwa utumishi wake uliotukuka, bidii na ubunifu alipotumikia nafasi mbalimbali ndani ya Serikali.

Mwenyezi Mungu aijalie familia yake subra na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu na ailaze roho yake mahali pema."



Wasifu wa Mafuru

Lawrence Mafuru ni mtaalamu mashuhuri wa masuala ya fedha mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 20 katika benki, uwekezaji, na sera za serikali. Ni Certified Chartered Banker kutoka Taasisi ya Wataalamu wa Benki ya London na pia ni Certified Financial Markets Dealer aliyeidhinishwa na ACI Financial Markets.

Alianza safari yake mwaka 1998 katika Benki ya Standard Chartered, akijikita katika Ufadhili wa Biashara za Kimataifa. Kwa kipindi cha zaidi ya miongo miwili iliyofuata, alishika nyadhifa mbalimbali za uongozi katika sekta ya fedha nchini Tanzania, ikiwemo kuwa Mkuu wa Hazina katika Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, na Mwenyekiti wa Chama cha Mabenki Tanzania (TBA).

Uzoefu wake unaenda zaidi ya benki za biashara, kwani pia aliwahi kuhudumu kama Msajili wa Hazina katika Wizara ya Fedha. Kama mamlaka inayotambulika katika masuala ya benki na fedha, Bw. Mafuru huombwa mara kwa mara kuwa mzungumzaji kwenye mijadala ya sekta hiyo. Ana shauku ya kutumia utaalamu wake ili kuleta manufaa kwa wateja na wadau wake.

Kabla ya nafasi yake ya sasa, Bw. Mafuru alichangia pakubwa katika kuunda sera za uchumi za Tanzania. Alihudumu katika Wizara ya Fedha kama Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera na baadaye kama Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Sera za Usimamizi wa Uchumi.

Hadi kifo kinamkuta, Bw. Lawrence Nyasebwa Mafuru alikuwa akihudumu kama Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango.
 
Alikuwa jizi,tu, wala simungunyi maneno,huyu na mkapa, ndio waliuza NBC benk kwa bei ya kutupa, Maghu alimtumbua alipokuwa hazina,kizimkazi, akamrudisha,
TZ is better off without him, he used is expertise to plunder and steal!
Sio kweli, huyu Mafuru hakuwepo NBC wakati inabinafsishwa! CEO wakati NBC inauzwa alikuwa Donald Kamori.
 
Salaleh, kwa hivyo bank haiwezi uza shares au bonds kutafuta capital na kutengeneza financial products za kuuza.

Marehemu ilikuwa ukimsikiliza sehemu zingine akiongelea masuala ya uchumi, unaona hakukuwa na kitu, ni watu ambao waliohitimu kwa second-second na kukuzwa na Jakaya Kikwete.

The nonsense that came from him hakuna private bank ingeweza mpa ukuregenzi mtu kama yule. Akili zao zilikuwa na faida serikalini tu walikojabza vilaza.
Nakubaliana na wewe hawa wote walikuwa ni third class students waliokuwa chawa wa Kikwete Ndio maana akawajaza Ikulu kwenye mradi wake wa wizi wa “ Best Results Now” ukiongozwa na Issa ; mara baada ya Magufuli kuingia Ikulu aliufutilia mbali huu mradi wa kifisadi toka mkopo wa benki ya dunia!!
Huyu Issa , Samia amenrudisha yuko planning commission ingawa huko nyuma ndiye alikuwa dalali wa kuliuza shirika la TTCL kwa wahindi!
 
Back
Top Bottom