TANZIA Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia

TANZIA Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia

Yaani hata sijui nilichoandika, wale wote waliorudi kwa kishindo wakati huo huo walikataliwa na mfumo then mfumo huo huo ukaja kuwarudisha, wanasema rudi rudi unaweza rudia mengine. Mi naangalia tu upepo, yaani wale waliorudi kwa dhihaka sijui inakuwaje
Ila wewe kipindi cha magu ulikuwa ukisifia kila taka.
Hadi makonda akikosea wewe ni kusifu tu.
3 years later umeujua ukweli.
That is life.
 
Ila acha kujingalinishq na Dr. MBA na ma-qualification mengine aliyonayo; wewe huna akili za kung’amua maamuzi ya kazi zake za kuja kumtukana mtu ambae kakuzidi.

Will meet you next time, ila wewe huna akili za kujibizana na Dorothy Gwajima hata robo.
I couldn't disagree with you more...., kama huyu ni mtumishi ambaye anatumikia taifa na anayejibizana nae ni Boss wake (mwananchi) basi ana kila haki na akili (so long as anaweza kueleweka, yaani kuongea) kwahio akiona kuna kitu hakipo sawa ni haki yake na civic duty kuuliza, kuhoji, kujibishana au hata kubishia chochote au lolote linalosemwa...

Acha huyu Mtumishi wa Umma hata Einstein mwenyewe mimi ambaye sijasoma formal education naweza kumbishia kuhusu E = MC^2 kama atakachoongea kinapingana na uhalisia wa premises zilizopo...

Kwa mtizamo wako kwamba mwenye ma qualification na MBA hawezi kujibizana na asiye na hayo madude naweza kusema hii ni hatua (metamorphosis) ya kuelekea kwenye Uchawa;

Niki paraphrase alichosema Voltaire.... “I might disapprove of what you say, but I will defend to the death your right to say it.”


By the way mimi mkulima ambaye sijasoma ninalaumu Watunga Sera wote pamoja na viongozi wa sasa kwa kuendelea kuzalisha bomu litakalotu-cost hapo kesho

 
Ifike hatua mtu akifariki wawe wanaweka wazi Watu Tuogope kufanya Uovu, Kama mtu kafariki kwa Ukimwi isemwe kweli, kafatiki kwa pombe isemwe kweli, acheni kuwa mnasingizia mafua au kisukali wakti Mtu kafariki kwa Ukimwi.
R.I.P Grace Mapunda na Lawrence Mafutu💔💔
Ukimwi sikuhizi hauui labda uwe fukara
 
I couldn't disagree with you more...., kama huyu ni mtumishi ambaye anatumikia taifa na anayejibizana nae ni Boss wake (mwananchi) basi ana kila haki na akili (so long as anaweza kueleweka, yaani kuongea) kwahio akiona kuna kitu hakipo sawa ni haki yake na civic duty kuuliza, kuhoji, kujibishana au hata kubishia chochote au lolote linalosemwa...

Acha huyu Mtumishi wa Umma hata Einstein mwenyewe mimi ambaye sijasoma formal education naweza kumbishia kuhusu E = MC2 kama atakachoongea kinapingana na uhalisia wa premises zilizopo...

Kwa mtizamo wako kwamba mwenye ma qualification na MBA hawezi kujibizana na asiye na hayo madude naweza kusema hii ni hatua (metamorphosis) ya kuelekea kwenye Uchawa;

Niki paraphrase alichosema Voltaire.... “I might disapprove of what you say, but I will defend to the death your right to say it.”


By the way mimi mkulima ambaye sijasoma ninalaumu Watunga Sera wote pamoja na viongozi wa sasa kwa kuendelea kuzalisha bomu litakalotu-cost hapo kesho

Kiongozi kwa maandishi yako kuamua kujishusha ni wewe. Lakini (uwezi kuwachukulia watu usiowajua kwenye hili jukwaa) poa, walau kwa tamaduni zangu.

I know you are clever with the Einstein be it shallow arguments, but that has nothing to do with this.

Tusionopeane kwa wenye akili timamu kwa umaarufu wa JF FaizaFoxy hana hata robo ya akili dorothy Gwajima.

Fanya yote usifananishe watu wa hovyo na wataalamu wa kweli.
 
Ila wewe kipindi cha magu ulikuwa ukisifia kila taka.
Hadi makonda akikosea wewe ni kusifu tu.
3 years later umeujua ukweli.
That is life.
Sisi baadhi yetu ni wana CCM damu damu, yaani tunapenda ukweli na ndiyo maana siku zote hatusifii uchawa. Mafuru ni moja ya viongozi ambao inawezekana walitumika kuhujumu uchumi, ni sawa tu na Msechu ni magenge ya wezi. It is the matter of time bosi. Ndiyo maana mi ningekuwa ninajua nimeiba serikali na ninajua kabisa na nilifukuzwa kazi na serikali aisee bora nifanye mishe zangu lakini siyo kurudi mwenye utumishi. Cheki tu viongozi wengi wezi waliosemekana ni wezi ila leo wapo na madaraka, hivi unadhani wahusika wengine hawaoni? Hapo ni scrambles for government resources na ndiyo maana lazima wauane sana!
 
Jamaa alipewa jukumu la kutengeneza dira ya taifa 2025, na mwezi huu alitakiwa kuwasilisha rasimu ya dira. Loh
Huyu jamaa amepumzishwa aseee!.

Maana kupelekwa ile hospitali huwa si jambo la kawaida au dogo.

Lawrence pamoja na kuwa mtu wa imani kwenye dini yake, itakuwa alijitahidi kidogo kusimama na alichoamini, tatizo linakuja kwa wasiopenda msimamo wako, hapo ndipo tatizo lilipo.

Daaah!, naendelea kujifunza kilichompata legend JPM!.
 
View attachment 3147717
Lawrence Nyasebwa Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango amefariki Dunia leo Novemba 9, 2024 katika hospitali ya Apollo nchini India.

Rais Samia Suluhu Hassan ameandika katika Mitandao yake ya Kijamii kuhusu Kifo cha Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango,
View attachment 3147755
"Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Bw. Lawrence Nyasebwa Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango kilichotokea leo tarehe 09 Novemba, 2024 katika hospitali ya Apollo nchini India.

Ninatoa pole kwa familia, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji) Mheshimiwa Prof. Kitila Alexander Mkumbo, watumishi wa Tume ya Mipango, ndugu jamaa na marafiki kufuatia msiba huu.

Bw. Mafuru atakumbukwa kwa utumishi wake uliotukuka, bidii na ubunifu alipotumikia nafasi mbalimbali ndani ya Serikali.

Mwenyezi Mungu aijalie familia yake subra na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu na ailaze roho yake mahali pema."



Wasifu wa Mafuru

Lawrence Mafuru ni mtaalamu mashuhuri wa masuala ya fedha mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 20 katika benki, uwekezaji, na sera za serikali. Ni Certified Chartered Banker kutoka Taasisi ya Wataalamu wa Benki ya London na pia ni Certified Financial Markets Dealer aliyeidhinishwa na ACI Financial Markets.

Alianza safari yake mwaka 1998 katika Benki ya Standard Chartered, akijikita katika Ufadhili wa Biashara za Kimataifa. Kwa kipindi cha zaidi ya miongo miwili iliyofuata, alishika nyadhifa mbalimbali za uongozi katika sekta ya fedha nchini Tanzania, ikiwemo kuwa Mkuu wa Hazina katika Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, na Mwenyekiti wa Chama cha Mabenki Tanzania (TBA).

Uzoefu wake unaenda zaidi ya benki za biashara, kwani pia aliwahi kuhudumu kama Msajili wa Hazina katika Wizara ya Fedha. Kama mamlaka inayotambulika katika masuala ya benki na fedha, Bw. Mafuru huombwa mara kwa mara kuwa mzungumzaji kwenye mijadala ya sekta hiyo. Ana shauku ya kutumia utaalamu wake ili kuleta manufaa kwa wateja na wadau wake.

Kabla ya nafasi yake ya sasa, Bw. Mafuru alichangia pakubwa katika kuunda sera za uchumi za Tanzania. Alihudumu katika Wizara ya Fedha kama Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera na baadaye kama Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Sera za Usimamizi wa Uchumi.

Hadi kifo kinamkuta, Bw. Lawrence Nyasebwa Mafuru alikuwa akihudumu kama Katibu Mtendaji

View attachment 3147717
Lawrence Nyasebwa Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango amefariki Dunia leo Novemba 9, 2024 katika hospitali ya Apollo nchini India.

Rais Samia Suluhu Hassan ameandika katika Mitandao yake ya Kijamii kuhusu Kifo cha Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango,
View attachment 3147755
"Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Bw. Lawrence Nyasebwa Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango kilichotokea leo tarehe 09 Novemba, 2024 katika hospitali ya Apollo nchini India.

Ninatoa pole kwa familia, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji) Mheshimiwa Prof. Kitila Alexander Mkumbo, watumishi wa Tume ya Mipango, ndugu jamaa na marafiki kufuatia msiba huu.

Bw. Mafuru atakumbukwa kwa utumishi wake uliotukuka, bidii na ubunifu alipotumikia nafasi mbalimbali ndani ya Serikali.

Mwenyezi Mungu aijalie familia yake subra na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu na ailaze roho yake mahali pema."



Wasifu wa Mafuru

Lawrence Mafuru ni mtaalamu mashuhuri wa masuala ya fedha mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 20 katika benki, uwekezaji, na sera za serikali. Ni Certified Chartered Banker kutoka Taasisi ya Wataalamu wa Benki ya London na pia ni Certified Financial Markets Dealer aliyeidhinishwa na ACI Financial Markets.

Alianza safari yake mwaka 1998 katika Benki ya Standard Chartered, akijikita katika Ufadhili wa Biashara za Kimataifa. Kwa kipindi cha zaidi ya miongo miwili iliyofuata, alishika nyadhifa mbalimbali za uongozi katika sekta ya fedha nchini Tanzania, ikiwemo kuwa Mkuu wa Hazina katika Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, na Mwenyekiti wa Chama cha Mabenki Tanzania (TBA).

Uzoefu wake unaenda zaidi ya benki za biashara, kwani pia aliwahi kuhudumu kama Msajili wa Hazina katika Wizara ya Fedha. Kama mamlaka inayotambulika katika masuala ya benki na fedha, Bw. Mafuru huombwa mara kwa mara kuwa mzungumzaji kwenye mijadala ya sekta hiyo. Ana shauku ya kutumia utaalamu wake ili kuleta manufaa kwa wateja na wadau wake.

Kabla ya nafasi yake ya sasa, Bw. Mafuru alichangia pakubwa katika kuunda sera za uchumi za Tanzania. Alihudumu katika Wizara ya Fedha kama Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera na baadaye kama Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Sera za Usimamizi wa Uchumi.

Hadi kifo kinamkuta, Bw. Lawrence Nyasebwa Mafuru alikuwa akihudumu kama Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango.
Hayati Nyere alifariki kwa Cancer ya damu(Leukemia).Huu ugonjwa ni hatari sana.
 
Huyu jamaa amepumzishwa aseee!.

Maana kupelekwa ile hospitali huwa si jambo la kawaida au dogo.

Lawrence pamoja na kuwa mtu wa imani kwenye dini yake, itakuwa alijitahidi kidogo kusimama na alichoamini, tatizo linakuja kwa wasiopenda msimamo wako, hapo ndipo tatizo lilipo.

Daaah!, naendelea kujifunza kilichompata legend JPM!.
Mean dira ya taifa 2050
 
Pole sana wanafamilia. Mwenyezi Mungu awajalie faraja.

Kila kinapotokea kifo cha mmoja wetu, kinatukumbusha wanadamu kuwa maisha yetu ya Duniani ni mafupi, na katika huo muda mfupi tinatakiwa kujitahidi kwa kadiri tuwezevyo kutenda mema, kutenda haki na kujitenga na kiburi.

Wale watekaji na wauaji wa wakosoaji wa Rais, wajue kuwa nao kuna siku watakufa na kuacha maguvu yote ya dola, yasiwasaidie chochote. Waziri Mchengerwa na wakurugenzi na watendaji wengine wote, wanaodhulumu haki za watu kwenye uchaguzi, wajue kuwa wanaweza kuhangaika sana kuiba uchaguzi, na hata wakafanikiwa kupora madaraka, lakini hayo madaraka yasiwafae chochote, kwani wakati wowote wanaweza kuitwa na aliyetuumba, ambapo waitike wasiitike, wataenda tu.

Tuishini kwa upendo, kwa kutenda haki, kwani waweza kuitwa nyakati ukiwa umejaa uchafu mtupu!!

Wanafamilia pileni sana.
 
Kiongozi kwa maandishi yako kuamua kujishusha ni wewe. Lakini (uwezi kuwachukulia watu usiowajua kwenye hili jukwaa) poa, walau kwa tamaduni zangu.

I know you are clever with the Einstein be it shallow arguments, but that has nothing to do with this.

Tusionopeane kwa wenye akili timamu kwa umaarufu wa JF FaizaFoxy hana hata robo ya akili dorothy Gwajima.

Fanya yote usifananishe watu wa hovyo na wataalamu wa kweli.
Naam, umeniita?

Tatizo nini?
 
My sister out of curiosity pamoja na maakili yote (ambayo najua unayo). Ila unakatabia cha kumdhihaki ‘The Genius’ Dr Dorothy Gwajima, nikuulize tu out of curiosity kabisa kwenye kichwa chako unaakili hata ya nusu alizonazo?
Kumbe na wewe umeliona hili jambo, sijui kwani anamchukia mama gwajima, huyu dk Yuko upstairs kichwani kuliko female wote kwenye cabinet.
 
Back
Top Bottom