TANZIA Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia

TANZIA Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia

Kwasasa Nchi iko hoi hata Miradi ni kusua sua hawa watu mnaosema wamesoma wanasaidiaje??? Watanzania ni mabingwa kwa maneno ila njoo kwenye kazi ni zero...Huyu jamaa alikua NBC ikafa jumla leo iko chali
Sasa NBC si alikua mhazini tu? Anahusika
Umeandika code niliyotaka kuandika, vijana na wale wenye tamaa na madaraka msikie na kusoma maneno haya.

Ukiweza kufanya mambo yako fanya, ukitaka ya serikalini nenda ila kumbuka kubeba shuka yako wkt wote.
Jamaa alipewa jukumu la kutengeneza dira ya taifa 2025, na mwezi huu alitakiwa kuwasilisha rasimu ya dira. Loh
 
Ifike hatua mtu akifariki wawe wanaweka wazi Watu Tuogope kufanya Uovu, Kama mtu kafariki kwa Ukimwi isemwe kweli, kafatiki kwa pombe isemwe kweli, acheni kuwa mnasingizia mafua au kisukali wakti Mtu kafariki kwa Ukimwi.
R.I.P Grace Mapunda na Lawrence Mafutu💔💔
 
Ifike hatua mtu akifariki wawe wanaweka wazi Watu Tuogope kufanya Uovu, Kama mtu kafariki kwa Ukimwi isemwe kweli, kafatiki kwa pombe isemwe kweli, acheni kuwa mnasingizia mafua au kisukali wakti Mtu kafariki kwa Ukimwi.
R.I.P Grace Mapunda na Lawrence Mafutu💔💔
Unaogopa kufanya uovu sababu fulani kafa kwa Ukimwi au unaogopa kwa ajili ya maadili? Adhabu ya kuua ni kifo lakini watu wanaendelea kuuana.
Unafikiri hata wakitangaza watu wataacha kuzini?
Kuna watu walijitangaza wana HIV ,pamoja na watu kusikia na kuona UKIMWI haukuisha.
 
Ifike hatua mtu akifariki wawe wanaweka wazi Watu Tuogope kufanya Uovu, Kama mtu kafariki kwa Ukimwi isemwe kweli, kafatiki kwa pombe isemwe kweli, acheni kuwa mnasingizia mafua au kisukali wakti Mtu kafariki kwa Ukimwi.
R.I.P Grace Mapunda na Lawrence Mafutu💔💔
Wewe watangazee ndugu Yako inatosha.
 
Ifike hatua mtu akifariki wawe wanaweka wazi Watu Tuogope kufanya Uovu, Kama mtu kafariki kwa Ukimwi isemwe kweli, kafatiki kwa pombe isemwe kweli, acheni kuwa mnasingizia mafua au kisukali wakti Mtu kafariki kwa Ukimwi.
R.I.P Grace Mapunda na Lawrence Mafutu💔💔
Kwann kupata ukimwi iwe uovu una tofauti na anayepata kisukari au presha sabb ya kula sana
 
Back
Top Bottom