Je wewe kwa analysis Yako, unaona ni kweli ,Hayati Nyere alifariki kwa Cancer ya damu(Leukemia).Huu ugonjwa ni hatari sana.
Pole sana classmateNaelekea kupona mkuu...😊
Mimi nimekuwa mwenyekiti uvccm, katibu uvccm then kiongozi on some circumstances.Sisi baadhi yetu ni wana CCM damu damu, yaani tunapenda ukweli na ndiyo maana siku zote hatusifii uchawa. Mafuru ni moja ya viongozi ambao inawezekana walitumika kuhujumu uchumi, ni sawa tu na Msechu ni magenge ya wezi. It is the matter of time bosi. Ndiyo maana mi ningekuwa ninajua nimeiba serikali na ninajua kabisa na nilifukuzwa kazi na serikali aisee bora nifanye mishe zangu lakini siyo kurudi mwenye utumishi. Cheki tu viongozi wengi wezi waliosemekana ni wezi ila leo wapo na madaraka, hivi unadhani wahusika wengine hawaoni? Hapo ni scrambles for government resources na ndiyo maana lazima wauane sana!
Yaani super hero1 ningekuwa moderator ningekulamba bani la hata nusu saa ukajifunze adabu. Dkt Magufuli tutaendelea kumtetea na kazi zake! Sisi hatukuwa chawa tuliamua kumsemea kwa ukweli na bado ni royal kwakeMimi nimekuwa mwenyekiti uvccm, katibu uvccm then kiongozi on some circumstances.
●Nowadays, wewe ndo akili zimekurudi then unajua mtu fulani hata kama wa chama changu kuna sehemu anakosea/wrong.
●Mfano ni mkuu wa mkoa wa dar now huwa mara kibao anazingua refer kauli ya mhe raisi akimu reinstate alimuambia "Uache mambo ya kitoto ".
●Ila wewe sasa kwa kipindi kile ulipitiliza uchawa. Ndo kipindi chenu uchawa ulipozaliwa.
●wewe "Mudawote" ndio chimbuko la machawa na kizazi chote cha machawa.
Point to note.Yaani super hero1 ningekuwa moderator ningekulamba bani la hata nusu saa ukajifunze adabu. Dkt Magufuli tutaendelea kumtetea na kazi zake! Sisi hatukuwa chawa tuliamua kumsemea kwa ukweli na bado ni royal kwake
Kwa hiyo wewe huwezi kuishi kwa maadili mpaka utishiweIfike hatua mtu akifariki wawe wanaweka wazi Watu Tuogope kufanya Uovu, Kama mtu kafariki kwa Ukimwi isemwe kweli, kafatiki kwa pombe isemwe kweli, acheni kuwa mnasingizia mafua au kisukali wakti Mtu kafariki kwa Ukimwi.
R.I.P Grace Mapunda na Lawrence Mafutu💔💔
Vipi wewee unatumia hivo " vitafunwa" au ndo mwendo wa magimbi na viporo vya wali ndo ndo 🤭Hakika mpenda vitumbua na sambusa afanya jambo la kuiangamiza nafsi yake😀 nimeamini.
Afya ya mtu ni jukumu binafsi sio mpaka itangazwe mtu kaungua. Trust none, mpaka umemuita MafutuIfike hatua mtu akifariki wawe wanaweka wazi Watu Tuogope kufanya Uovu, Kama mtu kafariki kwa Ukimwi isemwe kweli, kafatiki kwa pombe isemwe kweli, acheni kuwa mnasingizia mafua au kisukali wakti Mtu kafariki kwa Ukimwi.
R.I.P Grace Mapunda na Lawrence Mafutu💔💔
Tuko vizuri kulalama kuliko kuleta suruhu mfano hata humu unaweza kuona keyboard expertise wa kila jambo wapo humu.RIP brother, kwenye moja ya MD's Road Tour,tulipokuwa NBC ulisema,unashangaa sana kuona Ma-Head na Ma-Manager wanalalamika kwa nini wasitoe solutions!? You used to speak "constructive truth" RIP.
😄😄😄😄😄😄 We unadhani vitumbua kaumbiwa Baltasar Engonga tu?Vipi wewee unatumia hivo " vitafunwa" au ndo mwendo wa magimbi na viporo vya wali ndo ndo 🤭
🤣🤣🤣🤣 Engonga😄😄😄😄😄😄 We unadhani vitumbua kaumbiwa Baltasar Engonga tu?
View attachment 3147717
Lawrence Nyasebwa Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango amefariki Dunia leo Novemba 9, 2024 katika hospitali ya Apollo nchini India.
Rais Samia Suluhu Hassan ameandika katika Mitandao yake ya Kijamii kuhusu Kifo cha Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango,
View attachment 3147755
"Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya kifo cha Bw. Lawrence Nyasebwa Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango kilichotokea leo tarehe 09 Novemba, 2024 katika hospitali ya Apollo nchini India.
Ninatoa pole kwa familia, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Mipango na Uwekezaji) Mheshimiwa Prof. Kitila Alexander Mkumbo, watumishi wa Tume ya Mipango, ndugu jamaa na marafiki kufuatia msiba huu.
Bw. Mafuru atakumbukwa kwa utumishi wake uliotukuka, bidii na ubunifu alipotumikia nafasi mbalimbali ndani ya Serikali.
Mwenyezi Mungu aijalie familia yake subra na uvumilivu katika kipindi hiki kigumu na ailaze roho yake mahali pema."
Wasifu wa Mafuru
Lawrence Mafuru ni mtaalamu mashuhuri wa masuala ya fedha mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka 20 katika benki, uwekezaji, na sera za serikali. Ni Certified Chartered Banker kutoka Taasisi ya Wataalamu wa Benki ya London na pia ni Certified Financial Markets Dealer aliyeidhinishwa na ACI Financial Markets.
Alianza safari yake mwaka 1998 katika Benki ya Standard Chartered, akijikita katika Ufadhili wa Biashara za Kimataifa. Kwa kipindi cha zaidi ya miongo miwili iliyofuata, alishika nyadhifa mbalimbali za uongozi katika sekta ya fedha nchini Tanzania, ikiwemo kuwa Mkuu wa Hazina katika Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, na Mwenyekiti wa Chama cha Mabenki Tanzania (TBA).
Uzoefu wake unaenda zaidi ya benki za biashara, kwani pia aliwahi kuhudumu kama Msajili wa Hazina katika Wizara ya Fedha. Kama mamlaka inayotambulika katika masuala ya benki na fedha, Bw. Mafuru huombwa mara kwa mara kuwa mzungumzaji kwenye mijadala ya sekta hiyo. Ana shauku ya kutumia utaalamu wake ili kuleta manufaa kwa wateja na wadau wake.
Kabla ya nafasi yake ya sasa, Bw. Mafuru alichangia pakubwa katika kuunda sera za uchumi za Tanzania. Alihudumu katika Wizara ya Fedha kama Kamishna wa Idara ya Uchambuzi wa Sera na baadaye kama Naibu Katibu Mkuu anayeshughulikia Sera za Usimamizi wa Uchumi.
Hadi kifo kinamkuta, Bw. Lawrence Nyasebwa Mafuru alikuwa akihudumu kama Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango.
Kama wanavyosema ni kweli kuwa umeme umemuondoa, basi hata mwenza wale atakuwa ameathirika!Kwahio ina maana ile pisi yake nayo iko +VE?
Sio kweli, huyu Mafuru hakuwepo NBC wakati inabinafsishwa! CEO wakati NBC inauzwa alikuwa Donald Kamori.Alikuwa jizi,tu, wala simungunyi maneno,huyu na mkapa, ndio waliuza NBC benk kwa bei ya kutupa, Maghu alimtumbua alipokuwa hazina,kizimkazi, akamrudisha,
TZ is better off without him, he used is expertise to plunder and steal!
Sema taratibu wewe, haya 1,2,3 anza pole pole lakini.Ngoma inakula wengi. Biteko naye ninamuonea huruma!
Nakubaliana na wewe hawa wote walikuwa ni third class students waliokuwa chawa wa Kikwete Ndio maana akawajaza Ikulu kwenye mradi wake wa wizi wa “ Best Results Now” ukiongozwa na Issa ; mara baada ya Magufuli kuingia Ikulu aliufutilia mbali huu mradi wa kifisadi toka mkopo wa benki ya dunia!!Salaleh, kwa hivyo bank haiwezi uza shares au bonds kutafuta capital na kutengeneza financial products za kuuza.
Marehemu ilikuwa ukimsikiliza sehemu zingine akiongelea masuala ya uchumi, unaona hakukuwa na kitu, ni watu ambao waliohitimu kwa second-second na kukuzwa na Jakaya Kikwete.
The nonsense that came from him hakuna private bank ingeweza mpa ukuregenzi mtu kama yule. Akili zao zilikuwa na faida serikalini tu walikojabza vilaza.
It seems the guy knew he didn’t have a long time to live!
Mimi kwa kweli yule Biteko kwa macho tu huwa namuona kama ni mgonjwa hivi.Ngoma inakula wengi. Biteko naye ninamuonea huruma!