TANZIA Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia

MSIBA WA KWANZA MKUBWA kuwahi KUTOKEA kwenye WIZARA TANGU MAMA aingie MADARAKANI March 2021
 
Kumbe hata wewe unaangalia video za desh desh why zed.
Unaziangalia ukiwa umejifungia chumbani au sitting room. Ningetamani kuona uso wako ukiwa unazifaidi.
Wanawake wengi sana walimpenda Baltasary.

Kila mwanamume wanayekutana naye wanataka afanane naye😀
 
Nimefika hapa baada ya kujihimu aaubuhi na mapema. Nimekaa nasubiri daftari la michango lipite, hakuna. Au huu mtaa una taratibu tofauti? Labda wana lipa namba?
 
Kaondolewa na Genge la Madaraka ya 2025 ambalo Mama kabaki nao kama Watatu Ndani na Nje wako kama 7 hivi.
Genta una taarifa nyingi za muhimu,inaonekana wewe Ni mtu mmoja well informed hapa Tanzania.
Unatufungua wengine macho.
 
Not fair kabisa, anaondoka Mafuru, Mwijaku au Juma Lokole wanabaki, kweli??
 
Huyu kilichomuondoa wala siyo 🥁

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…