King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kwa iyo minjingu, njugu na booster imemsogeza sogeza. Ila dah ngoma imekaa pabaya sana. Walaumiwe Antony Fauci na Henry Kissinger kwa kuanzisha ngoma.
Cc King Kong III
UKIMWI unaua. Rest in peace bro.
aliugua?ingia YouTube ukisearch "Lawrence Mafuru" zipo kibao.
Pole.We unajua utakufaje? Au kifo kipi ni honorable zaidi ungependa wewe ufe? Mtu akiondoka ni busara tu kumuacha aende hata kama haumpendi! Mtu kwenda kutafuta afya yake popote ni haki yake so long as anaweza, wapo malaki walienda loliondo kwa babu na mpaka leo mamilioni wengine wamekesha leo kwa kalumanzila. Ni maisha yao
Ila king huu mkono wa nyani maamaee utauondoa wengi sana janjaroo bado anadunda nao tu. Dogo tulimuonya atemane na Airinii akatuona mafala hadi akamuoa.Minjingu inafika muda inagoma.
Kifo honorabo kabisa hiki!!Mimi kifuani mwa demu mkali.
Pole.
Dah FaizaFoxy ...Inna limLlahi wa inna Ilayhi rajiun.
Kafanana sana na yule jamaa, tofauti ni rangi zao tu, yule mweupe, huyu mweusi.
Kwani Apollo wanatibu UKIMWI?
Ya bandari na dp world.ipango ipi hawa huwa wanapanga? responsibility yake ni ipi? RIP
Wengi waliomdindia Jiwe wamekufa ndio wakina Ndullu Likwelile halafu chawa wake kama Mpango , Msukuma, Ndugai , Makonda Bado yanadunda! Is it by coincidence?Wako wachache wa aina hiyo
Ila kufa na ukimwi ni ajabu si magonjwa kama magonjwa mengineHIi ni post ya taarifa ya kifo, unaposema ukimwi unaua unamaanisha nini? Unless huelewi hata maana ya kitu unachoandika eti? Au wewe hutokufa?
Kama ni hivyo bhas atakua amemgomea na huyu coz siku za hivi karibuni kafuata nyayo za yule yule kato!!RIP mwamba uliyemgomea jiwe
Noma sana Kono la nyani ni hatari ,bongo m@vi na ubongo fleva industry imeoza!!!Ila king huu mkono wa nyani maamaee utauondoa wengi sana janjaroo bado anadunda nao tu. Dogo tulimuonya atemane na Airinii akatuona mafala hadi akamuoa.
Mkuu si useme tu na wewe ni mmoja waoAre you serious? Kufa kwa HIV ni uzembe tu. Kuna watu toka 1990s wako HIV positive, lakini kwa sababu wanafuata masharti ya kuepuka ngono zembe na wanakula vizuri bado wana survive
Alikuwa akisumbuliwa na sarataniAlipata changamoto gani Dkt.Mafuru?