GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kaondolewa na Genge la Madaraka ya 2025 ambalo Mama kabaki nao kama Watatu Ndani na Nje wako kama 7 hivi.Kwahiyo yule jamaa Tumia akili alipoandika Original plan in and out hakukosea!!?yaani operation P.J.L.K?
Naunganisha matukio tu na thread tu!!?
Huko vipi hawafiNdiyo maana sipendi mamlaka, bora kuendelea kuwa mfanya biashara jamani. Bora angebaki na firm yake ya consultancy
Ndio ugonjwa gani huo mkuu? Nawapa pole walioguswa na msiba.Vigogo wenye akili wanatwaliwa,,,na Cancer ya kupewa
Wewe Jamaa una Akili sana ila nakuhakikishia kuwa Wapumbavu wengi hapa wala hawajakuelewa ila wenye Akili tumeshakuelewa.Ukiona dokta anakuambiae "Ini limefeli,cancer ya ini na n.k ujue ni sumu kwa iliyofanya in kufeli!!!
Eboo!Kwani ukimwi ni ugonjwa?
Kamwelewa BaltasarUlitakiwa uishie hapa tu. Hayo maelezo mengine hapo chini, hayakuwa na umihimu/ulazima wowote ule.
Sasa naanza kuuelewa mchezo yule "Tumia akili " nyuzi zake zinaanza kutekelezwa pole pole!Ina maana cycle ya chura itaanza kufanyiwa kazi hasa wale wenye influence kwenye mfumo na jamii!!Kaondolewa na Genge la Madaraka ya 2025 ambalo Mama kabaki nao kama Watatu Ndani na Nje wako kama 7 hivi.
Wa private hawafi?Ndiyo maana sipendi mamlaka, bora kuendelea kuwa mfanya biashara jamani. Bora angebaki na firm yake ya consultancy
Samahani imani gani kabla sijatoa poleRip Bwana Mafulu. Mungu akuweke mahala pema pepono
Hakuna picha walla maelezo ya kutoshaSamahani imani gani kabla sijatoa pole
Hilo siyo tusi bana, tukana vile tumekuzoea. Mbona sasa hivi unatukana kama umetoka kanisani au umeongozana na wakwe?Huna Akili.
Kama muislam Allah amjalie makazi mema peponi na Amsamehe makosa yakeHakuna picha walla maelezo ya kutosha
Mipango ya wizi.ipango ipi hawa huwa wanapanga? responsibility yake ni ipi? RIP
Hamna a mani hapo.Mali za watanzania zinamnyima amanApumzike kwa amani amemaliza mwendo