TANZIA Lawrance Mafuru, Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango afariki dunia

Inna limLlahi wa inna Ilayhi rajiun.

Kafanana sana na yule jamaa, tofauti ni rangi zao tu, yule mweupe, huyu mweusi.
Hii ikiandikwa Kiswahili Allah hataelewa ama kusikia maombi yako? Ama kiswahili kinampiga chenga Allah?

Dini ni mambo ya kitapeli. Mungu hayupo. Kuna lugha zaidi ya 7200 Duniani ila Allah anaelewa lugha moja tu ya kiarabu, sasa hizo nyingine ambazo hazielewi nani aliziumba kama yeye ndie alieumba kila kitu halafu lugha nyingine haelewi?
 
Shikamoo Mkuu, ulisemaga watu wakasema dishi lako limeyumba. Kumbe upo sahii. Kwa hiyo unasema,kuelekea 2025 rip zitakuwa nyingi mno?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…