should we close this thread?NEXTY????
Ktk Kuoa wake 4 hakuona "KUONJANA"..., ni NDOA tu fullstop!! hivyo Kuhani usipotoshe!!!
Kuoa wake wanne sijui inakujaje hapa. Sheria inaruhusu kuoa wake saba mara sabini. (The Marriage Act, 1971, Part II (a), Sect. 10 (b))
Mama mia nakubaliana na wote waliomshangaa kuwa yeye pia amefuga mume wa mtu. Ndiyo wale wasiotaka kuishi maisha ya ndoa kwani ati hawataki kufugwa. Angekuwa mama mwenye busara asingejibu utumbo namna hiyo. Angekuwa ameolewa halafu mume wake anamtosa au anakuwa na affairs nje ya ndoa yao moyo ungemuuma sana na asingethubutu kujibu kihuni namna hii. Nawapongeza wanaume wote waliolaani kitendo hiki.
Hata kama mume ana cheat but wengine ni reserved jamani. Japo sikubaliani kabisa na ukosaji wa heshma ndani ya ndoa.
Na wale mlio karibu na mwasha hasa wale wanaokutania pale rose garden msaidieni huyu jamaa mwasha kama mlivyomshauri akaacha kuja rose garden na gari ya serikali. Kuna siku nilikuwa pale rose garden mwasha alirudi safarini toka dodoma na kabla hajafika nyumbni akapitia rose garden na gari ya serikali. Cha kushangaa kabisa akapata bia mbili tatu then akapanda juu ya meza akakaa. Kweli sikufurahia sana. Hata kama ana uhuru wa kufanya atakayo lakini kwa wadhifa aliyo nao matani au masihara mengine ni lazima aachane nayo. Awe mtu reserved ana ataheshimiwa.
Hata hivyo hii post ni muhimu na imeamsha hisia za wengi lakini ni tatizo sugu sana kwa viongozi wetu na sijui tutafanyaje tuweze kuchangia mawazo wa namna ya kuiboresha tume ya maadili ya viongozi wa umma.
Naomba kama kuna mwana jf mwenye taaarifa kama tume ya maadili ya uongozi watafanya any public consultation kuhusu namna bora ya kuifanyia reform taasisi hiyo. Asanteni.
Kikwete amefunga ndoa inayoitwa Potentially Polygamous. (The Marriage Act, 1971, Part II (a), Sect. 10 (b)) Wale vimada wake walikuwa ni wake zake potential!
Na pia, true to his rep, hivi karibuni tumesikia amebadili potential energy zake kuwa kinetic energy za mwili kwa kuoa mwingine, tunaeambiwa anakaa masaki (sijui kama ni kweli). Kwa hiyo, alikuwa sio fuska kwa sababu alikuwa ana testi zali za potential wives. Na Salma alijua toka mwanzo kwamba mumewe ni potential polygamist.
Kakosea nini?
Bora hilo la kupanda juu ya MEZA Mwanza akiwa amechemka na Bia alitukanana na wapiga kura wake na kutoa Bastora akiwa King cassino na kutishia kumpiga mtu, sasa hii ndiyo nini kwa waziri kama yeye
ni kweli anakaa masaki kweny nyumba ya rostam aziz. Ila ni ati wameshakubaliana kuwa atamrudisha kwao ili kuzima so maana nasikia kuna kundi linataka kulipua mambo yake. Na binti amekubali. Na pia ndoa rasmi bado, hizo ni tetesi. Mwenye ukweli aseme kama kweli hakuna ndoa rasmi. Hapo awali nilisikia kuna picha za ndoa hiyo zilikuwa zinatembea kwenye mtandao. Kama kuna mwenye nazo adondoshe hapa ili kukata mzizi wa fitina.
Jueni kwamba salma amevumilia mengi ya jk. Ingekuwa ni mimi liwalo na liwe ningeshafunga virago. Au pengine anaogopa kwa kuwa kipato chake ni kidogo au pia anapenda kuolewa na mtu maarufu. But to me to hell with it acha nikauze mkaa. Samani kwa wana mazingira, ndo biashara inayolipa siku hizi baada ya zali la richmond.
Ukweli ni kwamba hata kama dini zinaruhusu kuona 7 times 2 or 2 times 2 but hakuna mwanamke anapenda ku share love. Love in indivisible jamani. Asikudanganye mtu. Hakuna fair share in love sharing.
Jueni kwamba Salma amevumilia mengi ya JK. Ingekuwa ni mimi liwalo na liwe ningeshafunga virago. Au pengine anaogopa kwa kuwa kipato chake ni kidogo au pia anapenda kuolewa na mtu maarufu. But to me to hell with it acha nikauze mkaa. Samani kwa wana Mazingira, ndo biashara inayolipa siku hizi baada ya zali la Richmond.
Ukweli ni kwamba hata kama dini zinaruhusu kuona 7 times 2 or 2 times 2 but hakuna mwanamke anapenda ku share love. Love in indivisible jamani. Asikudanganye mtu. Hakuna fair share in love sharing.
Usikate tamaa. JF ni sehemu nzuri sana na ya watu wenye busara, majority. Minority wengine wanaiharibu. Hujui humu pia kuna mafisadi au vibaraka wao? Tena wanatuharibia themes nyingine ili zikose mwelelekeo? Any way, tukishawajua through postings zao ni kuwapiga chini tu. Kazi kwako moderator. Unajua wengine utawatanmbua kwa namna wanavyochangia au kuibua issue za uongo tu. mwenzetu aliimba "utawatambua kwa matendo yao" mimi nasema "utawatambua kwa aina ya posting zao za uzushi na uchangiaji wao wa kizushi".
NENDA NA WEWE UKAZITUMIE KAMA ZINALIWA KIRAHISI
Blacks cannot rule themselves. Give them guns and they will kill each other.
They are good in nothing else but making noise, dancing, marrying many wives
and indulging in sex.
Let us all accept that the Black man is the symbol of poverty, mental inferiority, laziness and emotional incompetence.