Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Shukran Mkuu Nimekusikia na nimekuelewa.....Nangoja mwenye data zangu azimwage humu ili nami nichambuliwe.....ndio Demokrasia yenyewe hiyo!!!Lakini kumbuka Mkuu kuwa hata hiyo Demokrasia ina mipaka......Mwisho napenda kukanusha kuwa "Mimi sio Mtumwa wa Mafisadi".
__________________
HAHAHAHAAAAAAAAA KAKA nilikuwa natania tu mkuu kumradhi si haiana!!!!!!
tuendelee mkuu tuko pamoja!!!!1br
__________________
HAHAHAHAAAAAAAAA KAKA nilikuwa natania tu mkuu kumradhi si haiana!!!!!!
tuendelee mkuu tuko pamoja!!!!1br