Lay JayDee na Nyota Ndogo wametuonesha UNAFIKI wa marafiki unavyoweza kuua biashara yako kisa urafiki

Marafiki wengi kwa bongo ni miyeyusho tu wengi wanafiki sana wachache wako real.
Fid q alishawahi kuimba sihitaji marafiki.
 
Amesema wale wanaompigia simu usiku wa manane wakiwa wamelewa ili kuonesha watu waliokua nao kua wanafahamiana nae sana ili hali hawa support kazi wala biashara zake,

Point yake ipo kwenye kusumbuana usiku wakati ni unafki.
 
Amesema wale wanaompigia simu usiku wa manane wakiwa wamelewa ili kuonesha watu waliokua nao kua wanafahamiana nae sana ili hali hawa support kazi wala biashara zake,

Point yake ipo kwenye kusumbuana usiku wakati ni unafki.
Binafsi nimemuelewa
 
Neno..biashara ya chakula wewe umwlitoa wapi? Yeye kaongelea muziki
 
Hakika, ukiendekeza marafiki wanakupoteza...
 
Katika dunia ya sasa ukitaka kila mtu awe rafiki yako basi unakaribisha wanafiki na maadui watupu katika maisha yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…