Tutafika tuu mkuu.Mambo yanaanza kuwa mambo
Ndio inavyotakiwa mkuu.Viongozi wa CHADEMA na ACT kamwe wasilegeze kamba. Kukabiliana na mhuni na wewe nenda kihuni
Bilashaka wanafahamu yanayo jiri, na ndio sababu kubwa wameendelea kukata mawasiliano ili watu wasipashane habari kwa yanayojiri sababu itaibua hasira na chuki za wananchiLiwale imechomwa na mbunge mteule kakimbilia dsm na familia yake.
Nikweli mkuu, ndio maana wameanza matamko kutisha watu, lkn watambue hii miaka mitano inayokuja nimiaka tofauti kabisa na mitano iliyopita.Bilashaka wanafahamu yanayo jiri, na ndio sababu kubwa wameendelea kukata mawasiliano ili watu wasipashane habari kwa yanayojiri sababu itaibua hasira na chuki za wananchi
Hakuna jipya hapo mmepigwa kipigo cha mbwa kokoMambo yanaanza kuwa mambo
CHADEMA akili hawana kabisaLiwale imechomwa na mbunge mteule kakimbilia dsm na familia yake.
Maoni gani tumeshinda kwa kishindo cha tsunami kabisaHuyu ni mpuuzi, maoni ya wananchi yamebakwa na kulawitiwa mchana kweupe hilo haoni.
Tangulia wewe usiseme ukiwa kwenye keyboardsViongozi wa CHADEMA na ACT kamwe wasilegeze kamba. Kukabiliana na mhuni na wewe nenda kihuni