Uchaguzi 2020 Lazaro Mambosasa ametoa tamko kwa wanaopanga kupinga matokeo ya Urais

Uchaguzi 2020 Lazaro Mambosasa ametoa tamko kwa wanaopanga kupinga matokeo ya Urais

ya jayo yana furahisha
IMG_20201030_190720.jpg


Dom/ Epidomea
 
Hii nchi siyo mali yake wananchi wana haki ya kuandamana kwa mujibu wa katiba ya tanzania na wanahaki ya kukataa matokeo maana kama sheria inakataza kwenda mahakamani basi wananchi ndiyo wenye mamlaka ya kukataa matokeo na yeye kazi yake ni kuwalinda hao wananchi kukataa ni halali yao kama ilivyo kwa wanaunga mkono huo uchafuzi
 
Hii nchi siyo mali yake wananchi wana haki ya kuandamana kwa mujibu wa katiba ya tanzania na wanahaki ya kukataa matokeo maana kama sheria inakataza kwenda mahakamani basi wananchi ndiyo wenye mamlaka ya kukataa matokeo na yeye kazi yake ni kuwalinda hao wananchi kukataa ni halali yao kama ilivyo kwa wanaunga mkono huo uchafuzi
Nendeni tu si mabeberu watawatibua anzeni hata sasa hivi
 
"Tumepata taarifa kwamba kuna vikundi vya watu wachache, wameamua kuanza na vikao vya siri wakihamasishana kwamba wasikubaliane na matokeo ambayo kimsingi ni maamuzi ya Wananchi wenyewe, yoyote anayelianzisha asijutie yale atakayokuatana nayo, Dar es Salaam siyo shamba la bibi, hatutowaacha waende zaidi ya mita kumi" Lazaro Mambosasa - Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, Tanzania.



Mwisho wa Mambosasa utakuwa kama huyu aliyejifanya mbabe kama yeye.

Kila la kheri Mambo-now!

 
Nendeni tu si mabeberu watawatibua anzeni hata sasa hivi

Huo wizi hauwezi kuachwa hivihivi hakuna atakayekubali wizi wa mchana na ushahidi upo hakuna kulala yeye atoe matamko tu lakini sisi wananchi ndiyo wenye mamlaka hatujatoa mamlaka kwa wizi wa hivo tangu tanzania izaliwe haijawahi kushuhudia wizi wa hivo ni aibu lazima tukatae wizi na hao wote walioshitiki kwenye wizi tutahakikisha wanatajana hadi aliyewatuma Nyerere alishasema tukiogopa tutatawaliwa na madikiteta basi tuone mwisho wake kama hizo silaha zitashinda nguvu ya umma. Kama wanafikiri wamekata internet VPN iko kila mahali
 
Huo wizi hauwezi kuachwa hivihivi hakuna atakayekubali wizi wa mchana na ushahidi upo hakuna kulala yeye atoe matamko tu lakini sisi wananchi ndiyo wenye mamlaka hatujatoa mamlaka kwa wizi wa hivo tangu tanzania izaliwe haijawahi kushuhudia wizi wa hivo ni aibu lazima tukatae wizi na hao wote walioshitiki kwenye wizi tutahakikisha wanatajana hadi aliyewatuma Nyerere alishasema tukiogopa tutatawaliwa na madikiteta basi tuone mwisho wake kama hizo silaha zitashinda nguvu ya umma. Kama wanafikiri wamekata internet VPN iko kila mahali
Anza mzeee... Mbn maneno Mengi
 
Matokeo ya Urais regardless yamepatikanaje hayapingwi kokote. Tuanzeni hapo kwanza maana hata NEC nao wanafanya uharamia wao mchana kweupe bila hofu wala woga maana wanajua wapo backed up na sheria, kanuni na KATIBA!

Wapinzani na wapenda haki waanzie hapo kwanza. Kungekuwa na hiyo window ya kupinga matokeo, ingekuwa rahisi kusubmit evidence zote mahakamani. Kwa sasa tutaziona evidence Twitter na JF tu
 
Imetoka hiyo. Zenj imeshashjndikana, maisha yanaendelea
Hii nchi siyo mali yake wananchi wana haki ya kuandamana kwa mujibu wa katiba ya tanzania na wanahaki ya kukataa matokeo maana kama sheria inakataza kwenda mahakamani basi wananchi ndiyo wenye mamlaka ya kukataa matokeo na yeye kazi yake ni kuwalinda hao wananchi kukataa ni halali yao kama ilivyo kwa wanaunga mkono huo uchafuzi
 
Back
Top Bottom