Lazaro Mambosasa: Raia ana haki ya kumkagua Askari ili kuondoa mazingira ya kusema amebambikiwa kesi

Lazaro Mambosasa: Raia ana haki ya kumkagua Askari ili kuondoa mazingira ya kusema amebambikiwa kesi

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
“Askari ana uhuru wa kukaguliwa, kwa sababu mara nyingine wanasema [watuhumiwa] bangi hii haikuwepo, ameingia nayo nimewekewa. Ili kuondosha mashaka hayo ya msingi, afisa wa polisi anasema naomba nikaguliwe ili mambo yakienda yatakayokutwa kule [mahakamani] asiwe na nafasi ya kuyakana kwamba mmeyaleta wenyewe.”
 
Back
Top Bottom