fenestra rotunda
JF-Expert Member
- Jun 18, 2015
- 608
- 614
ahuzulie=ahudhurieUpuuzi tu kwani lazima ahuzulie kikao au akuhuzulia unamlipa pambana na hali yako nyarandu sio level zako
Chadema hawajawahi kuacha siasa za ukabila hiyo ipo kwenye damu na kwa hiyo laana ya ukabila na udini hawatakaa washike dola asilaniMnaleta ukabila Tena? Anayetanguliza ukabila ni yule aliyefilisika hoja.
Ni mvuta bangi tu hana loloteKama naona Kingu yuko nyuma ya propaganda hii! nadhani anatafuta umaarufu wa kimkoa kumzidi yule mwenye skafu shingoni anaejifanya mzalendo zaidi..kumbe hewa tu!
ahuzulieUpuuzi tu kwani lazima ahuzulie kikao au akuhuzulia unamlipa pambana na hali yako nyarandu sio level zako
CCM wanaugua Ukanda na Uoga.Ukabila chadema haujawahi kuisha chama cha wachagga mnataka muwafundishe mpaka wengine ukabila wenu?
Hahaha huyo mwenye kitambaa shingoni hata mimi simwelewagiKama naona Kingu yuko nyuma ya propaganda hii! nadhani anatafuta umaarufu wa kimkoa kumzidi yule mwenye skafu shingoni anaejifanya mzalendo zaidi..kumbe hewa tu!
Pure IPPsMtu yeyote akijitambua CCM wanamwona hawafai
Nyalandu umechagua fungu lililo Bora
Wana singida kaskazini sasa watakuona mtu wa maana ..
Ni bora kusimama na ndugu yako.Mnyaturu Mwenzako LISSU..Ni kaka yako wa damu huyo.Kuliko kuandamana na miskuma ya huko wai sijui isiyo na utu
Aliekwambia wamefundishwa nani,wenyewe kwa wenyewe mnaliungurumisha,Ukabila chadema haujawahi kuisha chama cha wachagga mnataka muwafundishe mpaka wengine ukabila wenu?
Unamanisha yule anayejiona ni Mtanzania na mzalendo kwa kuvaa bendera ya taifa na Siku hizi anaongea kwa nyodo?Napita hapa darajani na jina lake limeandikwa na kumalizia rais!Kama naona Kingu yuko nyuma ya propaganda hii! nadhani anatafuta umaarufu wa kimkoa kumzidi yule mwenye skafu shingoni anaejifanya mzalendo zaidi..kumbe hewa tu!
Kingu na Mwigulu ni Wanyiramba
Nyalandu na Lissu ni Wanyaturu
Wanyiramba huwa wanasifika kwa roho mbaya
Kwa hapa namuona Lazaro akisimama na ndugu yake Lissu..Mnyaturu Mwenzake
Hahaha hua nakukubali sana!Ni mvuta bangi tu hana lolote
sio kwao Tu.Tanzania nzima.wewe jiulize kina ngosha why wamejazwa kuleKumbe huko kwao kuna ukabila eenh?