Ki Mun
JF-Expert Member
- Oct 6, 2014
- 3,442
- 4,388
Ni kweli Wanyiramba mna roho mbaya, wachoyo na wabaguzi!We mpumbavu mnyiramba gani alikufanyia roho mbaya kama sio laana zako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli Wanyiramba mna roho mbaya, wachoyo na wabaguzi!We mpumbavu mnyiramba gani alikufanyia roho mbaya kama sio laana zako
Upuuzi tu kwani lazima ahuzulie kikao au akuhuzulia unamlipa pambana na hali yako nyarandu sio level zako
Tuongeze na Membe... kujiunga na jumba bovu lenye ufa kila mahali na kazi kubwa waliyonayo ni kujaribu kuziba nyufa za jumba lao kwa mate. Jamani hizo nyufa hazizibiki hata kwa nondo.BIG UP Kanyunyu! umenikosha sana. Sasa Mdau vipi Nape, Ridhwani, Bashe? wapo ndani au wapo nje? Maana hawaeleweki eleweki ....
Kanyunyu UNGEKUWA NA UHAKIKA NA TAARIFA HII CHAMA KINGEMTIMUA NYALANDU MAPEMA. ILA HAUKUWA NA UHAKIKA. KWA HYO UMEBAHATSHA KAMA BIKO TU
Kanyunyu bwanaaa, usitucheleweshee utamu! Ila Nape kama anahama bora aanzishe chama chake. Vyama vingine vyote vilivyobaki naona akijiunga ni kujidhalilisha tu in search for cheap publicity na siasa taka za kukomoana.Mkuu nimeagiza soda nasubiri jibu la swali hili
Hii si lojiki aisee. CHADEMA ni watu kama walivyo wa vyama vingine.Suala la kushika dola na kuongoza ni la ridhaa ya wapiga kura kukichagua. Halafu elewa kuwa Tanzania hakuna chama cha kikabila
Ana uhuru wa kukihama chama.
Ninawapenda viongozi kama hao wanaofanya maamuzi magumu kuliko kung'ang'ania tu wakati huridhiki ili ugange njaa.
Haitaji kujificha ficha ahame hata Leo akaungane na Nape na Hussein Bashe
Kama naona Kingu yuko nyuma ya propaganda hii! nadhani anatafuta umaarufu wa kimkoa kumzidi yule mwenye skafu shingoni anaejifanya mzalendo zaidi..kumbe hewa tu!
aaah ongeza na dogo Januari, huyu apelekwe marekani.Hivi mwenye skafu kwa nini hawampi Ubalozi? Kuna watu bwana inabidi wafikiriwe wakale bata nje. Uwepo wao hapa nchini unaleta chombo kama vile Mwenye skafu, nape , bashe , rizi ...
Jamaa lina behave kama limesha staafu!Hivi mwenye skafu kwa nini hawampi Ubalozi? Kuna watu bwana inabidi wafikiriwe wakale bata nje. Uwepo wao hapa nchini unaleta chombo kama vile Mwenye skafu, nape , bashe , rizi ...
Jamaa lina behave kama limesha staafu!