Tetesi: Lazaro Nyalandu aiacha CCM kimya kimya

Tetesi: Lazaro Nyalandu aiacha CCM kimya kimya

Ahame haraka ili apate kiki, kabla hawajamfukuza na kupotea kama sofia simba
 
Mtu yeyote akijitambua CCM wanamwona hawafai
Nyalandu umechagua fungu lililo Bora
Wana singida kaskazini sasa watakuona mtu wa maana ..
Ni bora kusimama na ndugu yako.Mnyaturu Mwenzako LISSU..Ni kaka yako wa damu huyo.Kuliko kuandamana na miskuma ya huko wai sijui isiyo na utu
Watanzania hatujafika kuangalia makabila, fikiria upya
 
hujui ukisemacho .pole.kama hadi wanyaturu wamebadilika.Hamna leo nyie CCM Majangili
Mnyampaa! Vipi mbona unachanganya maneno?au mtukuru wa nafaka umeunywa asubui subuhi..cool down man!
 
Kama kuyokuhudhuria kikao ni kuhama chama vp kuhusu Kinana aliyegomea kikao cha halmashauri kuu kwa mkakosa hoja eti anauguza kwani yy dokta
 
Lazaro Nyarandu mbunge wa Singida Kwa tiketi ya CCM, ameiacha CCM kimya kimya na kinachosubiriwa ni kutangaza rasmi kuhamia Chadema, imebainika.

Taarifa toka Singida na Jimboni kwake zinabainisha kwamba mbunge huyo amesitisha kabisa kushiriki vikao vya CCM na kujihusisha na masuala yote ya kichama na badala yake yuko bize Kwenda Nairobi kufanya mazungumzo na Viongozi wa upinzani.

Taarifa za uhakika toka Singida zinamtaja Mbunge huyo kusitisha mahusiano na chama chake na hahudhurii vikao muhimu ndani ya wilaya yake hasa vikao vya kamati ya siasa ya wilaya Kwa muda wa miaka 2 sasa hajahudhuria kikao cha kamati ya siasa na Halmashauri kuu ya CCM wilaya. Vikao hivi ni muhimu sana katika kutoa dira ya uongozi wa kisiasa na masuala ya Maendeleo.

Mfano katika uchaguzi Mkuu wa CCM 2017 ngazi ya wilaya. Nyarandu anatajwa kugoma kutoa ushirikiano Kwa CCM Singida kaskazini katika mchakato wa uchaguzi ndani ya eneo lake la wilaya. Haikuishia hapo, wakati CCM Singida kaskazini Wameitisha Mkutano mkuu wa CCM wilaya Kwa ajili ya kuwachagua Viongozi wa wilaya mnamo October 5,2017 Mbunge huyo hakuhudhuria Mkutano huo muhimu ndani ya wilaya yake na badala yake alionekana Mkoani Mwanza Kwenye makongamano ya kidini akihubiri madhabahuni. Kitendo chá Mbunge kukataa kuhudhuria Mkutano wa uchaguzi muhimu ndani ya wilaya yake kinathibitisha ukweli kwamba kiongozi huyo ameitoa CCM ndani ya moyo wake.

Katika uchaguzi Mkuu wa CCM Singida kaskazini maswahiba wa karibu sana wa Nyarandu wanatajwa kupigwa chini na kupoteza nafasi zao za uongozi ndani ya chama hicho, akiwemo mwenyekiti wa CCM wa wilaya hiyo ambae ndiyo pumzi ya Nyarandu Kwa zaidi ya miaka 20, na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo ambae ni swahiba mkubwa wa Nyarandu amepoteza uongozi ndani ya chama hicho kupitia uchaguzi wa mwaka huu.

Ndani ya Mkutano mkuu wa CCM Singida kaskazini inatajwa wana CCM walikuwa wakipashana Habari kuhusu mbunge wao Kuwa na mpango Kwenda upinzani ndiyo maana amekataa kuhudhuria Mkutano huo muhimu ndani ya wilaya yake. Watu wake wa karibu waliogombea walisulubiwa Kwenye kura kutokana na Matendo ya mbunge huyo kutowajibika Kwa wananchi na Mienendo yake isiyoeleweka.

Watu wake wa karibu waliogombea na kushindwa Kwenye uchaguzi wamenukuliwa wakisema watahamia upinzani Kwa muda mwafaka. Kauli hizi Kwa watu wa karibu mno na mbunge huyo zinaleta picha kamili wanachopanga na watu wake, Kinachoendelea Kwa sasa ni kukamilisha mipango hiyo hatua Kwa hatua. Matendo ya Kiongozi huyo Kwa sasa yanaashiria uhalisia huo.

Jambo muhimu ambalo wengi hawajui ni kwamba Nyarandu ni mtiifu Kwa Edward Lowassa Kwa muda mrefu sana na ni mtu wake wa karibu, hapo katikati uhusiano wao Ulikuwa Kwa usiri hasa kuelekea uchaguzi Mkuu wa 2015 ambapo Lazaro naye alikuwa ni mgombea urais kupitia CCM. Uhusiano wake na Lowassa Kwa sasa umeimarika maradufu na wamekutana mara kadhaa Kwenye moja ya hotel mkoani Arusha ( nitaleta uzi Maalum na evidence)

Itaendelea.............

Kanyunyu, you make some how some sense. Nilikuwa najiuliza hivi kuna nini na Nyalandu mbona haeleweki eleweki? Angalia hata leo coverage Nyalandu anapewa kipaumele ya coverage kwenye magazeti ya Mbowe - Tanzania Daima kuliko mtu yoyote! Sasa Nyalandu nilitegemea leo atazungumzea kuhusu kazi safi na ushindi mkubwa tulioupata (at this initial stage) juu ya makinikia but to my surprise Nyalandu amepewa coverage ya Kupigia debe Katiba Mpya! Hii si bure hata kidogo! Hivi mapesa tutakayopewa na Barrick Bilioni 700 nilitegemea Nyalandu atasema anategemea wananchi wa jimbo lake watakumbukwa angalau fedha kidogo ya kupunguza makali ya maisha yeye yuko bizee na Katiba! Hali akijua kabisa kuwa Bosi wake Mh. Rais amesema Katiba is not a priority at this stage. Maendeleo ya wananchi kwa kupunguza umaskini ndio priority!
Nyalandu kama unataka kutoka utoke tuu acha contradictory statements.
 
Lazaro Nyarandu mbunge wa Singida Kwa tiketi ya CCM, ameiacha CCM kimya kimya na kinachosubiriwa ni kutangaza rasmi kuhamia Chadema, imebainika.

Taarifa toka Singida na Jimboni kwake zinabainisha kwamba mbunge huyo amesitisha kabisa kushiriki vikao vya CCM na kujihusisha na masuala yote ya kichama na badala yake yuko bize Kwenda Nairobi kufanya mazungumzo na Viongozi wa upinzani.

Taarifa za uhakika toka Singida zinamtaja Mbunge huyo kusitisha mahusiano na chama chake na hahudhurii vikao muhimu ndani ya wilaya yake hasa vikao vya kamati ya siasa ya wilaya Kwa muda wa miaka 2 sasa hajahudhuria kikao cha kamati ya siasa na Halmashauri kuu ya CCM wilaya. Vikao hivi ni muhimu sana katika kutoa dira ya uongozi wa kisiasa na masuala ya Maendeleo.

Mfano katika uchaguzi Mkuu wa CCM 2017 ngazi ya wilaya. Nyarandu anatajwa kugoma kutoa ushirikiano Kwa CCM Singida kaskazini katika mchakato wa uchaguzi ndani ya eneo lake la wilaya. Haikuishia hapo, wakati CCM Singida kaskazini Wameitisha Mkutano mkuu wa CCM wilaya Kwa ajili ya kuwachagua Viongozi wa wilaya mnamo October 5,2017 Mbunge huyo hakuhudhuria Mkutano huo muhimu ndani ya wilaya yake na badala yake alionekana Mkoani Mwanza Kwenye makongamano ya kidini akihubiri madhabahuni. Kitendo chá Mbunge kukataa kuhudhuria Mkutano wa uchaguzi muhimu ndani ya wilaya yake kinathibitisha ukweli kwamba kiongozi huyo ameitoa CCM ndani ya moyo wake.

Katika uchaguzi Mkuu wa CCM Singida kaskazini maswahiba wa karibu sana wa Nyarandu wanatajwa kupigwa chini na kupoteza nafasi zao za uongozi ndani ya chama hicho, akiwemo mwenyekiti wa CCM wa wilaya hiyo ambae ndiyo pumzi ya Nyarandu Kwa zaidi ya miaka 20, na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo ambae ni swahiba mkubwa wa Nyarandu amepoteza uongozi ndani ya chama hicho kupitia uchaguzi wa mwaka huu.

Ndani ya Mkutano mkuu wa CCM Singida kaskazini inatajwa wana CCM walikuwa wakipashana Habari kuhusu mbunge wao Kuwa na mpango Kwenda upinzani ndiyo maana amekataa kuhudhuria Mkutano huo muhimu ndani ya wilaya yake. Watu wake wa karibu waliogombea walisulubiwa Kwenye kura kutokana na Matendo ya mbunge huyo kutowajibika Kwa wananchi na Mienendo yake isiyoeleweka.

Watu wake wa karibu waliogombea na kushindwa Kwenye uchaguzi wamenukuliwa wakisema watahamia upinzani Kwa muda mwafaka. Kauli hizi Kwa watu wa karibu mno na mbunge huyo zinaleta picha kamili wanachopanga na watu wake, Kinachoendelea Kwa sasa ni kukamilisha mipango hiyo hatua Kwa hatua. Matendo ya Kiongozi huyo Kwa sasa yanaashiria uhalisia huo.

Jambo muhimu ambalo wengi hawajui ni kwamba Nyarandu ni mtiifu Kwa Edward Lowassa Kwa muda mrefu sana na ni mtu wake wa karibu, hapo katikati uhusiano wao Ulikuwa Kwa usiri hasa kuelekea uchaguzi Mkuu wa 2015 ambapo Lazaro naye alikuwa ni mgombea urais kupitia CCM. Uhusiano wake na Lowassa Kwa sasa umeimarika maradufu na wamekutana mara kadhaa Kwenye moja ya hotel mkoani Arusha ( nitaleta uzi Maalum na evidence)

Itaendelea.............
Tumpongeze kwa ushujaa wa kujitambua na kuona wapi penye faida
 
Kama naona Kingu yuko nyuma ya propaganda hii! nadhani anatafuta umaarufu wa kimkoa kumzidi yule mwenye skafu shingoni anaejifanya mzalendo zaidi..kumbe hewa tu!
Wakati wa kampeini za uchaguzi wa 2015 eti alikuwa anajiita Nyerere wa karne hii
 
Mtu yeyote akijitambua CCM wanamwona hawafai
Nyalandu umechagua fungu lililo Bora
Wana singida kaskazini sasa watakuona mtu wa maana ..
Ni bora kusimama na ndugu yako.Mnyaturu Mwenzako LISSU..Ni kaka yako wa damu huyo.Kuliko kuandamana na miskuma ya huko wai sijui isiyo na utu
Umenena jambo jema Sana
 
Upuuzi tu kwani lazima ahuzulie kikao au akuhuzulia unamlipa pambana na hali yako nyarandu sio level zako
Kikubwa ni kuwa anahama Ccm na kwenda kujiunga na chama cha wazarendo
 
Kingu na Mwigulu ni Wanyiramba
Nyalandu na Lissu ni Wanyaturu
Wanyiramba huwa wanasifika kwa roho mbaya
Kwa hapa namuona Lazaro akisimama na ndugu yake Lissu..Mnyaturu Mwenzake
Ufafanuzi wenye uzito wa kilo 1000
 
ACT Wazalendo haahaaaaa,hao ni mamluki tu.
Woote wapiga dili tu!
Zitto-na-Mbowe.png
 
Lazaro Nyarandu mbunge wa Singida Kwa tiketi ya CCM, ameiacha CCM kimya kimya na kinachosubiriwa ni kutangaza rasmi kuhamia Chadema, imebainika.

Taarifa toka Singida na Jimboni kwake zinabainisha kwamba mbunge huyo amesitisha kabisa kushiriki vikao vya CCM na kujihusisha na masuala yote ya kichama na badala yake yuko bize Kwenda Nairobi kufanya mazungumzo na Viongozi wa upinzani.

Taarifa za uhakika toka Singida zinamtaja Mbunge huyo kusitisha mahusiano na chama chake na hahudhurii vikao muhimu ndani ya wilaya yake hasa vikao vya kamati ya siasa ya wilaya Kwa muda wa miaka 2 sasa hajahudhuria kikao cha kamati ya siasa na Halmashauri kuu ya CCM wilaya. Vikao hivi ni muhimu sana katika kutoa dira ya uongozi wa kisiasa na masuala ya Maendeleo.

Mfano katika uchaguzi Mkuu wa CCM 2017 ngazi ya wilaya. Nyarandu anatajwa kugoma kutoa ushirikiano Kwa CCM Singida kaskazini katika mchakato wa uchaguzi ndani ya eneo lake la wilaya. Haikuishia hapo, wakati CCM Singida kaskazini Wameitisha Mkutano mkuu wa CCM wilaya Kwa ajili ya kuwachagua Viongozi wa wilaya mnamo October 5,2017 Mbunge huyo hakuhudhuria Mkutano huo muhimu ndani ya wilaya yake na badala yake alionekana Mkoani Mwanza Kwenye makongamano ya kidini akihubiri madhabahuni. Kitendo chá Mbunge kukataa kuhudhuria Mkutano wa uchaguzi muhimu ndani ya wilaya yake kinathibitisha ukweli kwamba kiongozi huyo ameitoa CCM ndani ya moyo wake.

Katika uchaguzi Mkuu wa CCM Singida kaskazini maswahiba wa karibu sana wa Nyarandu wanatajwa kupigwa chini na kupoteza nafasi zao za uongozi ndani ya chama hicho, akiwemo mwenyekiti wa CCM wa wilaya hiyo ambae ndiyo pumzi ya Nyarandu Kwa zaidi ya miaka 20, na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo ambae ni swahiba mkubwa wa Nyarandu amepoteza uongozi ndani ya chama hicho kupitia uchaguzi wa mwaka huu.

Ndani ya Mkutano mkuu wa CCM Singida kaskazini inatajwa wana CCM walikuwa wakipashana Habari kuhusu mbunge wao Kuwa na mpango Kwenda upinzani ndiyo maana amekataa kuhudhuria Mkutano huo muhimu ndani ya wilaya yake. Watu wake wa karibu waliogombea walisulubiwa Kwenye kura kutokana na Matendo ya mbunge huyo kutowajibika Kwa wananchi na Mienendo yake isiyoeleweka.

Watu wake wa karibu waliogombea na kushindwa Kwenye uchaguzi wamenukuliwa wakisema watahamia upinzani Kwa muda mwafaka. Kauli hizi Kwa watu wa karibu mno na mbunge huyo zinaleta picha kamili wanachopanga na watu wake, Kinachoendelea Kwa sasa ni kukamilisha mipango hiyo hatua Kwa hatua. Matendo ya Kiongozi huyo Kwa sasa yanaashiria uhalisia huo.

Jambo muhimu ambalo wengi hawajui ni kwamba Nyarandu ni mtiifu Kwa Edward Lowassa Kwa muda mrefu sana na ni mtu wake wa karibu, hapo katikati uhusiano wao Ulikuwa Kwa usiri hasa kuelekea uchaguzi Mkuu wa 2015 ambapo Lazaro naye alikuwa ni mgombea urais kupitia CCM. Uhusiano wake na Lowassa Kwa sasa umeimarika maradufu na wamekutana mara kadhaa Kwenye moja ya hotel mkoani Arusha ( nitaleta uzi Maalum na evidence)

Itaendelea.............

Kinyunyu wewe ni political analyst mzuri sana!
Uliyoaandika kweli yametokea. Na kweli hizo trip za Nairobi hazikuwa bure, hata kauli zake tatanishi zilionyesha kuwa yuko mguu moja ndani mwingine nje. Aende salama, akajiunge na jumba bovu.
 
Back
Top Bottom