Tetesi: Lazaro Nyalandu aiacha CCM kimya kimya

Pumbavu zako, usitukane kabila lisilo lako, natamani nikutukane na wewe bahati mbaya sitaki kuwaumiza wengine.
 
ashajua hana chake CCM,,mafisadi wote waTAKIMBILIA KWA BOSS WAO EDO
 
Upuuzi tu kwani lazima ahuzulie kikao au akuhuzulia unamlipa pambana na hali yako nyarandu sio level zako
Muulize kikao cha Juzi ikulu katibu mkuu wao alikuwepo? kama mtu kama katibu mkuu anakosekana na kikao kinaenda itakuja kuwa nyalandu kukosekana huko wilayani? Wapuuzi tu hawa
 
Chadema hawajawahi kuacha siasa za ukabila hiyo ipo kwenye damu na kwa hiyo laana ya ukabila na udini hawatakaa washike dola asilani
Hata wewe mkuu unawaza hivi...pole sana mkuu..usiwaze sana...moyo utapasuka
 
kisa kaenda kumsalimia lissu misukule mingine inaogopa itapigwa bun aya fukueni makaburi tuone
 
Anajua kinachofuata
 
Hata Nape mlisema atahama CCM juzi alipoenda Kenya na kuhojiwa KTN mkabaki mnasema hajajitambua wakati ni nyie mlimwita kamanda anasubiri kuhama tuu.
 
Kingu na Mwigulu ni Wanyiramba
Nyalandu na Lissu ni Wanyaturu
Wanyiramba huwa wanasifika kwa roho mbaya
Kwa hapa namuona Lazaro akisimama na ndugu yake Lissu..Mnyaturu Mwenzake
Ukabila tu umekujaa
Nitafurahi sana Nyalandu akituachia chama chetu
 
Hii habari haina mashiko, imekaa kimajungu kwa lengo la kumchafua Mh. Nyalandu
 
Kila mwenye kusoma sasa sio wakati wa kubaki ccm. Wamechoka tumewachoka....akitoka huko atakuwa amefanya jambo la maana kwa nchi yake.
Wengine nao watoke tu....tunahitaji mabadiliko ya kweli sio ya 50/50
 
Kwa hiyo ulitaka asije Mwanza, tulikuwa naye Mwanza na aliongea na Vijana wa kanisa la M.I.C.C, nyegezi kona na watu tulifurahia kuwa naye na alitujenga sana Vijana hasa alivyoelezea maisha yake ya utoto hadi hivi sasa...
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukabila tu umekujaa
Nitafurahi sana Nyalandu akituachia chama chetu
unaongelea theory.sisi tuko huku mikoani tunajua.tunaona.
Chama chenu..hahahahahah..wewe kama nani?
watu wengine bana
 
Hata hivyo kuwa mwanaccm unahitaji uwe na akili za kimisukule.
 
Angekuwa mzalendo na skafu yake shingoni angekuwa ameshawakamata waliomshambulia Lissu kwa risasi. Wanafiki safari yao huwa fupi sana lazima wajikwae kama wafungao goli la mkono
Kama naona Kingu yuko nyuma ya propaganda hii! nadhani anatafuta umaarufu wa kimkoa kumzidi yule mwenye skafu shingoni anaejifanya mzalendo zaidi..kumbe hewa tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…