Tetesi: Lazaro Nyalandu aiacha CCM kimya kimya

Ana uhuru wa kukihama chama.

Ninawapenda viongozi kama hao wanaofanya maamuzi magumu kuliko kung'ang'ania tu wakati huridhiki ili ugange njaa.
 
Siasa mbaya na chuki zinazidi kuota mizizi minene... acheni kujifanya mnafahamu mawazo ya mtu kichwani kwake... wanafiki nyie na wafitini nyinyi ni wapotoconist wakubwa na wapumbavu. Mbona hamsemi kuwa Mama zenu wanawataka kimapenzi mababa wa Nyumba za Majirani zenu!
 
Siasa mbaya na chuki zinazidi kuota mizizi minene... acheni kujifanya mnafahamu mawazo ya mtu kichwani kwake... wanafiki nyie na wafitini nyinyi ni wapotoconist wakubwa na wapumbavu.
Aisee tulia mkuu...usikukuruke kama kuku aliyekatwa kichwa....TUNASHUKURU KUJUA AKILI ZAKO PIA
 
Chadema ni chama ambacho mtu akibainika ubaya wake ccm anaenda huko.Huyu mtu kwa nini sio waziri sasa hivi?Ni fisadi mkubwa,kwa nini ni mtiifu kwa Maunga?Mafisadi wawili ambao wanalengo moja,kutafuna Raslimali zetu bila mtu kumuuliza/kumkatazab mwenzake.Uchu wa madaraka,siku sio nyingi na yule mpare ataenda huko huko kwa wenzake.
 
namkaribisha chama changu "NZURI PESA PARTY" kifupi NPP
 

Kwa hisani ya watu wa Marekani!
 
Kingu na Mwigulu ni Wanyiramba
Nyalandu na Lissu ni Wanyaturu
Wanyiramba huwa wanasifika kwa roho mbaya
Kwa hapa namuona Lazaro akisimama na ndugu yake Lissu..Mnyaturu Mwenzake
kwa hiyo hali hii inawafurahisha sana nhumbus hamuoni kuwa huo ni ubaguzi wa kikabila?
 
Mh Nyalandu ana majukumu mengi,hakuna sehemu amesema anahama chama,ila kasema atapeleka muswada binafsi wa katiba mpya ya Warioba.
Akihama chama atapoteza ubunge,akipoteza ubunge hawezi kuwasilisha muswada.Tusimulishe maneno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…