Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,356
- 38,922
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona una haraka ya kupost hata mtu hajamaliza kuongea daaah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbona una haraka ya kupost hata mtu hajamaliza kuongea daaah
Lowassa na Sumaye sio wezi?Mwizi karudi baada ya kuona mlinzi kaondoka.
Si mlisema Nyarandu hataki kumlamba Magufuli viatu?Kuwa upinzani haihitaji roho ya kizembezembe, kuwa upinzani lazima uwe umesimama madhubuti .
Ndio umegundua leo?nyalandu kumbe ni opportunist.
Huyo hapo jangiliPicha tafadhali
Mtasubiri sana.wamekuja wote hao na kurudi walikotoka. Mambo magumu chadema hakuna kula.anaefuata ni mheshimiwa Mbowe
Ukweli na wewe umeandika pointi Sana mkuuMwizi karudi baada ya kuona mlinzi kaondoka.
Pole sanaCHADEMA kunahitaji wanasiasa wapambanaji na sio watafuta fursa.
Huyo alishaonyesha dalali hivyo hatushangai.Bavicha sasa anzeni kumtukana
Unauliza makofi polisi.Kwa hiyo alimkimbia mwendazake
Watanzani tunajifunza nini kwa wanasiasa kama hawa?
Ila akawa mwenyekiti wa kandaHuyo alishaonyesha dalali hivyo hatushangai.
Uzuri alitoswa kugombea uraisi.
Tuliwambia chadema kwamba Nyarandu ni opportunities wakawa wanabisha.Kwa hiyo alimkimbia mwendazake