Mlima simba
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 3,776
- 6,825
sasa amemlamba?Si mlisema Nyarandu hataki kumlamba Magufuli viatu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa amemlamba?Si mlisema Nyarandu hataki kumlamba Magufuli viatu?
Raha ya kuchamba umalize kunya,wewe Mzee Mgaya vipi?Lazaro Nyalandu wa Chadema amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma.
Kazi Iendelee!
Kwahiyo leo amekuwa sio mwizi wa twiga tena.Bavicha sasa anzeni kumtukana
Wewe hujui maana ya Breaking News?
Haki ya nani Lissu anafukuzwa kwenye nyumba ya Nyalandu kule ubeligiji, duu maisha yanaenda kasi mno.Nyalandu karudi kuendelea na biashara ya kubeba tembo kupeleka dubai
Vipi wewe unaonaje?Kwahiyo leo amekuwa sio mwizi wa twiga tena.
Alipohamia Chadema wakasema wamempata dume [emoji28][emoji28]Tuliwaonya kwamba Nyarandu hana analojua mkasma hoo hataki kumlamba Magufuli viatu.
Oneni sasa!
Yani wafuasi wa chadema huwa wanapata tabu sana
Lango lipo wazi sasa, wanaanza kurudi mmoja baada ya mwingine.Kama kawaida sasa wanenda kuwauza tembo woote
Moja ya wanasiasa wenye tabia za kimalaya malaya.Watanzani tunajifunza nini kwa wanasiasa kama hawa?
Naona mwizi alikimbilia kwa wezi ndio mana aliona kule panamstahili na alikaa kwa amani hadi alipoona mlinzi kaondoka ndipo akarudi zakeMwizi karudi baada ya kuona mlinzi kaondoka.
Wamtukane wa nini?Naona jinsi mabavicha yatakapoanza kumtukana tena Nyarandu
Mabeberu rasmi ndani ya chama.
Wakachukua hatua gani?Kigogo alishawaambia huyo wawe nae makini ni mamluki
CHADEMA kunahitaji wanasiasa wapambanaji na sio watafuta fursa.