Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Marafiki wa kikwete wanarudi rasmi chamani..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marafiki wa kikwete wanarudi rasmi chamani..
Mwenye akili timamu hawezi kukaa meza moja na 👆🏾
Hata kavideo mpepo!Lazaro Nyalandu wa Chadema amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma.
Nyalandu aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chadema amesema walikuwa wamechukuliwa na walilazimishwa kumwimbia bwana lakini wao pamoja na mzee Lowassa, Sumaye na Dr Slaa wamegoma kuimba kwani bwana yuko CCM peke yake.
Nyalandu ameiomba radhi CCM na amewashukuru kwa kumpokea tena.
Kadhalika mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Lindi Dr Suleiman Methew naye amerejea CCM alikokuzwa kisiasa.
Kazi Iendelee!
Hiyo team ina hasira kweli baada ya kuishi maisha ya bila wizi na ufisadi.Lango lipo wazi sasa, wanaanza kurudi mmoja baada ya mwingine.
Mimi namuelewa Nyalandu,sababu kubwa iliyomuondoa CCM ni ukatili wa Magufuli.nyalandu kumbe ni opportunist.
Siyo wa kumuamini, huenda anamission fulani hivi, wanatakiwa kumuangalia kwa jicho la ziada. Huyo fisadi siyo wa kumuamini hata kidogo.Lazaro Nyalandu wa Chadema amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma.
Nyalandu aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chadema amesema walikuwa wamechukuliwa na walilazimishwa kumwimbia bwana lakini wao pamoja na mzee Lowassa, Sumaye na Dr Slaa wamegoma kuimba kwani bwana yuko CCM peke yake.
Nyalandu ameiomba radhi CCM na amewashukuru kwa kumpokea tena.
Kadhalika mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Lindi Dr Suleiman Methew naye amerejea CCM alikokuzwa kisiasa.
Kazi Iendelee!
Wakachukua hatua gani?
Hatuna tena makapi ya ccm yote yameondokaKama kawaida sasa wanenda kuwauza tembo woote
Walichukuliwa na bwana gani?Lazaro Nyalandu wa Chadema amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma.
Nyalandu aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chadema amesema walikuwa wamechukuliwa na walilazimishwa kumwimbia bwana lakini wao pamoja na mzee Lowassa, Sumaye na Dr Slaa wamegoma kuimba kwani bwana yuko CCM peke yake.
Nyalandu ameiomba radhi CCM na amewashukuru kwa kumpokea tena.
Kadhalika mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Lindi Dr Suleiman Methew naye amerejea CCM alikokuzwa kisiasa.
Kazi Iendelee!
Masikini tembo walipo huko maporini sasa hivi watakuwa wanaanza kuandika wosia .
Mungu ni mkubwa sana.Hatuna tena makapi ya ccm yote yameondoka
Si tuliwaonya kwamba anakimbilia huko ili kulinda maslahi yake mkakataa?sasa amemlamba?
Funny enough almost all politicians are hungry, as such, "as dangerous as lions". With any politician, there is always a price tag...A hungry politician is dangerous than a lion, a greedy one is threat like hyena; whereas a hypocrite one changes his stance on issues depending on the way the wind blows similar to a chameleon changing its colour depending on it surroundings.
Nyalandu makes no difference.
Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu ametangaza rasmi kurejea CCM mbele ya Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Samia Suluhu kupitia Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Dodoma leo, akitokea CHADEMA.