Lazaro Nyalandu arudi rasmi Chama cha Mapinduzi akitokea CHADEMA

Lazaro Nyalandu arudi rasmi Chama cha Mapinduzi akitokea CHADEMA

Marafiki wa kikwete wanarudi rasmi chamani..
1619778474710.png
 
Hahahahaaaaa wimbo umekuwa mgumu sana kuuimba kule kwa wahuni wa kisiasa nyumbani kutamu bwanaa karibu nyarandu na wengine wataelewa tu hata mbowe karibu CCM
 
Lazaro Nyalandu wa Chadema amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma.

Nyalandu aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chadema amesema walikuwa wamechukuliwa na walilazimishwa kumwimbia bwana lakini wao pamoja na mzee Lowassa, Sumaye na Dr Slaa wamegoma kuimba kwani bwana yuko CCM peke yake.

Nyalandu ameiomba radhi CCM na amewashukuru kwa kumpokea tena.

Kadhalika mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Lindi Dr Suleiman Methew naye amerejea CCM alikokuzwa kisiasa.

Kazi Iendelee!
Hata kavideo mpepo!
 
Lazaro Nyalandu wa Chadema amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma.

Nyalandu aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chadema amesema walikuwa wamechukuliwa na walilazimishwa kumwimbia bwana lakini wao pamoja na mzee Lowassa, Sumaye na Dr Slaa wamegoma kuimba kwani bwana yuko CCM peke yake.

Nyalandu ameiomba radhi CCM na amewashukuru kwa kumpokea tena.

Kadhalika mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Lindi Dr Suleiman Methew naye amerejea CCM alikokuzwa kisiasa.

Kazi Iendelee!
Siyo wa kumuamini, huenda anamission fulani hivi, wanatakiwa kumuangalia kwa jicho la ziada. Huyo fisadi siyo wa kumuamini hata kidogo.
Huyo ashawakuwa compromised
 
Lazaro Nyalandu wa Chadema amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma.

Nyalandu aliyekuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chadema amesema walikuwa wamechukuliwa na walilazimishwa kumwimbia bwana lakini wao pamoja na mzee Lowassa, Sumaye na Dr Slaa wamegoma kuimba kwani bwana yuko CCM peke yake.

Nyalandu ameiomba radhi CCM na amewashukuru kwa kumpokea tena.

Kadhalika mwenyekiti wa Chadema mkoa wa Lindi Dr Suleiman Methew naye amerejea CCM alikokuzwa kisiasa.

Kazi Iendelee!
Walichukuliwa na bwana gani?
Kwasasa huyo bwana wamemwacha wapi?
 
A hungry politician is dangerous than a lion, a greedy one is threat like hyena; whereas a hypocrite one changes his stance on issues depending on the way the wind blows similar to a chameleon changing its colour depending on it surroundings.

Nyalandu makes no difference.
Funny enough almost all politicians are hungry, as such, "as dangerous as lions". With any politician, there is always a price tag...
 
Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu ametangaza rasmi kurejea CCM mbele ya Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Samia Suluhu kupitia Mkutano Mkuu Maalum wa CCM Dodoma leo, akitokea CHADEMA.

Chadema haitatetereka kwa kuondoka kwa watu kama huyu wala kwa kuondoka awaye yote.

Chadema ni movement ya wenye imani zao kuhusiana na haki na usawa. Katiba muafaka, haki na maendeleo ya watu ni misingi ya imani ambazo zitaendelea kuishi milele with and without everyone.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
Back
Top Bottom