Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Kama nakuona Membe around......[emoji849]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie alivoondoka mlimtukana sana kwamba anasafirisha tembo kwenda Dubai Dubai mbona leo mmempokea?Naona jinsi mabavicha yatakapoanza kumtukana tena Nyarandu
Leo wewe ndio umejua hilo🤣 weka akiba ya maneno "wameshindwa kuimba wimbo wa bwana ugenini"CHADEMA kunahitaji wanasiasa wapambanaji na sio watafuta fursa.
Mama kaanza kuharibu kama Magufuli, kununua watu kutoka vyama vingine ni dalili ya udhaifu kiuongoziLazaro Nyalandu wa Chadema amerejea CCM kupitia mkutano mkuu wa CCM leo jijini Dodoma.
Kazi Iendelee!
Kama kawaida sasa wanaenda kuwauza tembo wooteMabeberu rasmi ndani ya chama.
Tuliwaonya kwamba Nyarandu hana analojua mkasma hoo hataki kumlamba Magufuli viatu.Huyo alishaonyesha dalali hivyo hatushangai.
Uzuri alitoswa kugombea uraisi.
PointHakuna wa kumuamini dunia ya leo