Lazaro Nyalandu arudi rasmi Chama cha Mapinduzi akitokea CHADEMA

Lazaro Nyalandu arudi rasmi Chama cha Mapinduzi akitokea CHADEMA

Haki yake kuwa anapopataka sioni sababu ya panic, iweje akija ashangiliwe akiondoka asimangwe?!
 
Ukiwafuatilia sana wanasiasa unaweza kufa mapema sana kwa ugonjwa wa moyo.

Alichofanya Nyalandu ni katika kile kinachoitwa "kujitafutia mkate wake wa kila siku". Kila mtu ana mbinu zake na ni busara kutopangiana mbinu za kusurvive hapa duniani.

Muda si mrefu vyama karibia vyote vitapiga u-turn, vitaanza kumsifia Mama na kuunga mkono juhudi huku tukisahau kwamba mifumo hasa ya uchaguzi bado ni ileile na hatupaswi kubank hopes zote kwa mtu mmoja
 
A hungry politician is dangerous than a hungry lion, a greedy one is a threat like hyena; whereas a hypocrite one changes his stance on issues depending on the way the wind blows similar to a chameleon changing its colour depending on it surroundings.

Nyalandu makes no difference .
 
Back
Top Bottom