Sio gari ana magariBora angeenda na gari tu make kila mtu anajua ana gari.Na akishapata ubunge ataendelea kutumia bodaboda?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio gari ana magariBora angeenda na gari tu make kila mtu anajua ana gari.Na akishapata ubunge ataendelea kutumia bodaboda?.
karibu sanaNinamuheshimu lakini huu ni ujinga, kai park hapo V*8 alafu anachukua BB kwenda miata 200 kuchukua form. tusemeje
Haya ndiyo maigizo kama yale ya Lowassa kwenda kupanda daladala uchaguzi uliopita..
Lazima ashindwe
Kinyonge kabisa!Ni uamuzi binafsi
Kumbe hii sindano ilikupata barabara[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kinyonge kabisa!
Ni dalili kuwa huna cha kusema ilihali umefedheheka!Kumbe hii sindano ilikupata barabara[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unafki mkubwa. Wallah ningekuwa msingida wala kura yangu asingepata.Mtu kwake kapark marange halafu anatuona sisi wapumbavu eti anakwenda kuchukua form kwa boda boda. Hypocrite kabisa.
Mpe muuaji dada angu Ramadhan inghoduUnafki mkubwa. Wallah ningekuwa msingida wala kura yangu asingepata.Mtu kwake kapark marange halafu anatuona sisi wapumbavu eti anakwenda kuchukua form kwa boda boda. Hypocrite kabisa.
Singida Dodoma safi tuBora angeenda na gari tu make kila mtu anajua ana gari.Na akishapata ubunge ataendelea kutumia bodaboda?.
Tulia acksonAu akina Nape kula mamantilie.[emoji23]
Nyalandu na Lissu wamaitia doa Singida KIUONGOZI NA UZALENDO KWA NCHI YAO, KUMBE BADO WANAWAABUDU WAaZUNGU MABEBERUWana singida wenzangu, hizi ofisi ziko wapi?