Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Ndio, kwahio??Kwamba anaigiza kuwa ni mtu wa hali ya chini na kwamba hana v8 kama wagombea wengine,au?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio, kwahio??Kwamba anaigiza kuwa ni mtu wa hali ya chini na kwamba hana v8 kama wagombea wengine,au?!
Labda ilipata pacha au kulikuwa na tatizo la kiufundi?Unafki mkubwa. Wallah ningekuwa msingida wala kura yangu asingepata.Mtu kwake kapark marange halafu anatuona sisi wapumbavu eti anakwenda kuchukua form kwa boda boda. Hypocrite kabisa.
Mkuu kwani kuwa tajiri na kuamka kupanda bodaboda ni dhambi?au ni maskini tu ndio wanaruhusiwa kupanda ma-Range ila matajiri hawaruhusiwi kupanda bodaboda hata mara mojamoja?why chuki namna hii kwa matajiri?.na kama mnaona utajiri wake sio wa halali kwanini msimpeleke mahakamani na kumfunga?..hizi roho mbaya za kutaka matajiri wasiishi wanavyotaka zinatusaidia nini? dahUnafki mkubwa. Wallah ningekuwa msingida wala kura yangu asingepata.Mtu kwake kapark marange halafu anatuona sisi wapumbavu eti anakwenda kuchukua form kwa boda boda. Hypocrite kabisa.
Na ccm ndio masterminds wa ushamba na ujinga. Ndio breeding ground. Endeleeni kuupalilia huo ushamba. Ushamba na ujinga vikishamiri ccm ndio inanawiri.Huyo jamaa anaotesha Hekalu huko Arusha ni balaa, Singida wanajulia wapi nn kinaendelea Arusha?. Tatizo Tanzania washamba wengi sana.
Hasa walioko madarakani ndio wanafiki zaidi. Kama wewe mchambia matembele umeyajua yote hayo na wapo wanaoyajua zaidi yako hawachukui hatua. Tulia tu unafiki utamalaki. Musiba anasemaje kwani kuhusu uwaziri wa Nyalandu, kubeba twiga na kumiliki magari?Kwangu wanasiasa wote ni wanafiki sana.
Kama alikuwa waziri tena Maliasili kabeba Twiga
Anamiliki magari mengi ya kila aina.
Nyalandu na Lissu wamaitia doa Singida KIUONGOZI NA UZALENDO KWA NCHI YAO, KUMBE BADO WANAWAABUDU WAaZUNGU MABEBERU
Akili fupi zako hizo, mbona hukusema upumbavu Magufuli alipokwenda na kikapu kuhemea??, Mbona hukusema aliponunua Hindi la kuchomwa pale kilwa!!Unafki mkubwa. Wallah ningekuwa msingida wala kura yangu asingepata.Mtu kwake kapark marange halafu anatuona sisi wapumbavu eti anakwenda kuchukua form kwa boda boda. Hypocrite kabisa.
Una uhakika sikusema ?Tena nilisema mbele ya camera anakula hindi barabarani. Nyumbani kwake anakula vinono.Akili fupi zako hizo, mbona hukusema upumbavu Magufuli alipokwenda na kikapu kuhemea??, Mbona hukusema aliponunua Hindi la kuchomwa pale kilwa!!
Hahaaaaaa mkuu usipaniki hii ndo siasa Leo Lowassa fisadi mkubwa, Kesho haohao Lowassa ndo kiongozi bora awe Rais. Akili za kukopa.Hasa walioko madarakani ndio wanafiki zaidi. Kama wewe mchambia matembele umeyajua yote hayo na wapo wanaoyajua zaidi yako hawachukui hatua. Tulia tu unafiki utamalaki. Musiba anasemaje kwani kuhusu uwaziri wa Nyalandu, kubeba twiga na kumiliki magari?
Hakuna serikali wala chama cha kukutoa matongotongo, jipambanie kwanZa mwenyewe.Na ccm ndio masterminds wa ushamba na ujinga. Ndio breeding ground. Endeleeni kuupalilia huo ushamba. Ushamba na ujinga vikishamiri ccm ndio inanawiri.
😀🙏Una uhakika sikusema ?Tena nilisema mbele ya camera anakula hindi barabarani. Nyumbani kwake anakula vinono.
Ni kweli, naona bado matongotongo unayo.Hakuna serikali wala chama cha kukutoa matongotongo, jipambanie kwanZa mwenyewe.