Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu atumia usafiri wa bodaboda kuchukua fomu ofisi ya Mkurugenzi

Hta mtoa post na yeye ni muigizaji kama waigizaji wengine,yani unaleta nyuzi za maigizo.
 
Kifuatacho ITV... IGIZO
 

Attachments

  • Ee0lhbYXoAAwn6G.jpg
    6.5 KB · Views: 2
Unafki mkubwa. Wallah ningekuwa msingida wala kura yangu asingepata.Mtu kwake kapark marange halafu anatuona sisi wapumbavu eti anakwenda kuchukua form kwa boda boda. Hypocrite kabisa.

sasa si uamuzi tu binafsi, ameamua/amejisikia kupanda bodaboda hakatazwi..
 
Unafki mkubwa. Wallah ningekuwa msingida wala kura yangu asingepata.Mtu kwake kapark marange halafu anatuona sisi wapumbavu eti anakwenda kuchukua form kwa boda boda. Hypocrite kabisa.
Mpe muuaji dada angu Ramadhan inghodu
 
Kwangu wanasiasa wote ni wanafiki sana.
Kama alikuwa waziri tena Maliasili kabeba Twiga
Anamiliki magari mengi ya kila aina.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…