Kaimbe mapambio wewe MATAGA bwana wa mabwana mungu wa miungu alufa na omera nan kama mwewe......Server ya JF inajazwa takataka sasa,hivi nyalandu kutangaza nia nayo ni habari? nyalandu ni nani kwanza? ana ushawishi gani? huyu huyu aliyekuwa anakwenda kujirusha nchi za ng'ambo na totoz kwa kisingizio cha kwenda kutangaza utalii?? Muwe serious aisee,kumruhusu atangaze nia tu kwenye chama chenu mnaonekana kabisa mna uboya fulani hivi,eti nyalandu [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Chadema siyo CCM inayobagua watu wa kuchukua fomu.Server ya JF inajazwa takataka sasa,hivi nyalandu kutangaza nia nayo ni habari? nyalandu ni nani kwanza? ana ushawishi gani? huyu huyu aliyekuwa anakwenda kujirusha nchi za ng'ambo na totoz kwa kisingizio cha kwenda kutangaza utalii?? Muwe serious aisee,kumruhusu atangaze nia tu kwenye chama chenu mnaonekana kabisa mna uboya fulani hivi,eti nyalandu 😃😃😃😃
Loser!"Nitazungumza na Wanahabari na nitakuwa LIVE ndani ya Global TV na Millard Ayo TV leo Jumapili June 14 saa 12 jioni. Karibu sana unisikilize!" Lazaro Nyalandu.
Huyu ndiye mgombea anayekubalika na wadhamini wa chama!"Nitazungumza na Wanahabari na nitakuwa LIVE ndani ya Global TV na Millard Ayo TV leo Jumapili June 14 saa 12 jioni. Karibu sana unisikilize!" Lazaro Nyalandu.
Chagueni size yenu.. Mna ruhusiwaNinazungumza na wana CCM wenzangu. Ikiwa Chadema watamsimamisha Tundu Lissu kuwania urais, kwa tiketi ya chama hicho, kazi kwetu ni nyepezi kabisa. Lissu ni mwepesi kama ubua.
Ikiwa Chadema watamsimamisha Lazaro Nyalandu kuwania nafasi hiyo..tutapata ugumu kidogo. Huyu jamaa kidogo ni 'mzito'. Sio wa kumbeza na kumpuuza. Anaweza kututoa jasho kwa kuwa ana uhusiano mzuri na mabeberu.
Tujipange kupambana na Chadema na mabeberu walio nyuma yao.
CCM daima
Kidumu Chama Cha Mapinduzi....!
Jipeni moyo maccm. Mie nahofia tu goli la mkono. Kama game ingekuwa fair play, kwa Tundu, mngetoka knock out kabla ya saa 4 asubuhi!Ninazungumza na wana CCM wenzangu. Ikiwa Chadema watamsimamisha Tundu Lissu kuwania urais, kwa tiketi ya chama hicho, kazi kwetu ni nyepezi kabisa. Lissu ni mwepesi kama ubua.
Ikiwa Chadema watamsimamisha Lazaro Nyalandu kuwania nafasi hiyo..tutapata ugumu kidogo. Huyu jamaa kidogo ni 'mzito'. Sio wa kumbeza na kumpuuza. Anaweza kututoa jasho kwa kuwa ana uhusiano mzuri na mabeberu.
Tujipange kupambana na Chadema na mabeberu walio nyuma yao.
CCM daima
Kidumu Chama Cha Mapinduzi....!
Umeacha kumuogopa Lissu siku hizi?Ninazungumza na wana CCM wenzangu. Ikiwa Chadema watamsimamisha Tundu Lissu kuwania urais, kwa tiketi ya chama hicho, kazi kwetu ni nyepezi kabisa. Lissu ni mwepesi kama ubua.
Ikiwa Chadema watamsimamisha Lazaro Nyalandu kuwania nafasi hiyo..tutapata ugumu kidogo. Huyu jamaa kidogo ni 'mzito'. Sio wa kumbeza na kumpuuza. Anaweza kututoa jasho kwa kuwa ana uhusiano mzuri na mabeberu.
Tujipange kupambana na Chadema na mabeberu walio nyuma yao.
CCM daima
Kidumu Chama Cha Mapinduzi....!
CCM OYEEE...Dawa ni kwenda kumuangukia Lowasa kwa mara nyingine na kumpigia deki lami.
Acha kuonyesha woga wa kishindo. Magufuli anajitosheleza. Hahihtaji kampeni za hofu wala njama chafu kama hizi.
Kweli kabisa ni mtu sahihi ,mpk ameona ajitungie na sheria kabisa ya kuogopa kushitakiwa akitoka madarakani.Acha kuonyesha woga wa kishindo. Magufuli anajitosheleza. Hahihtaji kampeni za hofu wala njama chafu kama hizi.
Sana sana wabunge wa CCM ndio hawana majina na hawakubaliki. Wasifanye uharamia wakamchafuat rais wetu. Wasimvalishe Magufuli mavazi yao. Yeye analovazi lake linamtosha kuwa rais wa dunia.
Ninaomba Rais wangu alitikiswe na hofu za wabunge wa cCM yeye ni mtu sahihi na anauzito wa kutosha.
Wote hao ni wepesi tu Kama unyoya hakuna anaeweza kusimama na magufuli awe lisu mbowe nyalandu wanagaragazwa vibaya sanaNinazungumza na wana CCM wenzangu. Ikiwa Chadema watamsimamisha Tundu Lissu kuwania urais, kwa tiketi ya chama hicho, kazi kwetu ni nyepezi kabisa. Lissu ni mwepesi kama ubua.
Ikiwa Chadema watamsimamisha Lazaro Nyalandu kuwania nafasi hiyo..tutapata ugumu kidogo. Huyu jamaa kidogo ni 'mzito'. Sio wa kumbeza na kumpuuza. Anaweza kututoa jasho kwa kuwa ana uhusiano mzuri na mabeberu.
Tujipange kupambana na Chadema na mabeberu walio nyuma yao.
CCM daima
Kidumu Chama Cha Mapinduzi....!