Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Ulitaka asitangaze nia ?Kama ni kweli basi upinzani safari bado ni ndefu
Mnagawana kura ushindi hautapatikana
Acha tuendelee kuburuzwa
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitaka asitangaze nia ?Kama ni kweli basi upinzani safari bado ni ndefu
Mnagawana kura ushindi hautapatikana
Acha tuendelee kuburuzwa
Mwana JF mkongwe Kama wewe hupaswi kufikiri kwa kiwango Cha chini hiviKama ni kweli basi upinzani safari bado ni ndefu
Mnagawana kura ushindi hautapatikana
Acha tuendelee kuburuzwa
Ninazungumza na wana CCM wenzangu. Ikiwa Chadema watamsimamisha Tundu Lissu kuwania urais, kwa tiketi ya chama hicho, kazi kwetu ni nyepezi kabisa. Lissu ni mwepesi kama ubua.
Ikiwa Chadema watamsimamisha Lazaro Nyalandu kuwania nafasi hiyo..tutapata ugumu kidogo. Huyu jamaa kidogo ni 'mzito'. Sio wa kumbeza na kumpuuza. Anaweza kututoa jasho kwa kuwa ana uhusiano mzuri na mabeberu.
Tujipange kupambana na Chadema na mabeberu walio nyuma yao.
CCM daima
Kidumu Chama Cha Mapinduzi....!
Acha kuonyesha woga wa kishindo. Magufuli anajitosheleza. Hahihtaji kampeni za hofu wala njama chafu kama hizi.
Sana sana wabunge wa CCM ndio hawana majina na hawakubaliki. Wasifanye uharamia wakamchafuat rais wetu. Wasimvalishe Magufuli mavazi yao. Yeye analovazi lake linamtosha kuwa rais wa dunia.
Ninaomba Rais wangu alitikiswe na hofu za wabunge wa cCM yeye ni mtu sahihi na anauzito wa kutosha.
Wafuasi wa ccm karibu wote ni washirikima na wachawi na wanatoka mikoa flani flani ya kisukule.Wote hao ni wepesi tu Kama unyoya hakuna anaeweza kusimama na magufuli awe lisu mbowe nyalandu wanagaragazwa vibaya sana
Acha ushabiki wa kijingaServer ya JF inajazwa takataka sasa,hivi nyalandu kutangaza nia nayo ni habari? nyalandu ni nani kwanza? ana ushawishi gani? huyu huyu aliyekuwa anakwenda kujirusha nchi za ng'ambo na totoz kwa kisingizio cha kwenda kutangaza utalii?? Muwe serious aisee,kumruhusu atangaze nia tu kwenye chama chenu mnaonekana kabisa mna uboya fulani hivi,eti nyalandu 😃😃😃😃
wabunge na madiwani wanaisha huko wewe endelea kuvuta subiraMkuu Vuta Subira hii ni Teknik ya Kijasusi ambayo CDM wanaitumia kuwapoteza CCM wasijue nani atasimama,tumeelekeza Mgombea wetu ni Lissu ili CCM wajipange kupambana na Lissu lakini at the end hautaweza amini anayekuja VUTA Subira tu!!
Watarudi wengine After Oct 2020 , hao WACHUMIA TUMBO mwisho wao ni baada ya kura ya maoni tu!!wabunge na madiwani wanaisha huko wewe endelea kuvuta subira