Lazaro Nyalandu kutangaza nia ya Urais Leo

Kama ni kweli basi upinzani safari bado ni ndefu
Mnagawana kura ushindi hautapatikana
Acha tuendelee kuburuzwa
Mwana JF mkongwe Kama wewe hupaswi kufikiri kwa kiwango Cha chini hivi
 
Wote hao ni wepesi tu Kama unyoya hakuna anaeweza kusimama na magufuli awe lisu mbowe nyalandu wanagaragazwa vibaya sana
Wafuasi wa ccm karibu wote ni washirikima na wachawi na wanatoka mikoa flani flani ya kisukule.
 
Hakuna mwanaccm boya wa kuwa na mawazo ya namna hii

Hivi kuna mpinzani anawazia nafasi ya urais?

Hakuna mtu mzito kwa Magufuli, tumewaachia nafasi za chini
 
CHADEMA kupigia ugoko golini mwisho 2015!
MTAKAA SANA!
πŸ‘Š ✌️✌️✌️πŸ’₯
 
Acha ushabiki wa kijinga
 
Mkuu Vuta Subira hii ni Teknik ya Kijasusi ambayo CDM wanaitumia kuwapoteza CCM wasijue nani atasimama,tumeelekeza Mgombea wetu ni Lissu ili CCM wajipange kupambana na Lissu lakini at the end hautaweza amini anayekuja VUTA Subira tu!!
wabunge na madiwani wanaisha huko wewe endelea kuvuta subira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…