Lazaro Nyalandu, Mwanaccm pekee aliyepinga Udikteta wa awamu ya 5 kwa vitendo

Mo dewji na Rostam walijivua vyeo vyote walivyokuwanavyo walimpinga nani?unachukuwa maneno ya lisu unayaamini wakati Lazaro yupo,unashindwa nini kumuuliza na anafikika bila shida yoyote ,njoo dm nikupe namba yake atakupa sababu .
Hao unaowasema waliwahi kuhama ccm mwaka gani ?
 
Wote ni wale mafisadi tulioaminishwa na chadema kuwa anamaliza wanyama pori hai na kugawa vitalu kwa rushwa na kaoa miss tanzania kweli chadema wakikuambia usiku toka nje ukahakikishe shetani wanamuita mtakatifu!
Lazaro alikuwa Mwanaume.

Akaamua kuacha vyote bila wa
oga.
 
Tutamfikia kila Mhusika
 
Hakupinga udikiteta, aliogopa kubanwa kuhusu twiga waliosafirishwa wakati akiwa Waziri wa Maliasili akakimbilia kwenye kinga ya upinzani.
Upinzani hakuna kinga. Kinga ipo CCM ambapo hadi spika amewekewa kinga ua lkutoshtakiwa. pia Waziri hana mamlaka ya kuitoa kibal;i cha kusafirisha wanyama. Kibali kinatoka kwa rais tu!
 
Ndipo mtu mwingine mwenye kufikiri sana kabla ya kufanya hitimisho la kumpambanua mtu kwamba huyu mtu ni wa aina gani ?
Itabidi huyo mtu ajiulize kama kweli huyo jiwe alisemekana ni dikiteta mbona hakumdhuru Nyalandu. ??!! πŸ™πŸ™
Najaribu kutafakari tu. !!
 
Nyalandu aliokolewa na Network yake USA , si kwamba hakutakiwa kumalizwa , uliza wakubwa wakueleze vizuri , na hiyo network ndio ilimpa ujasiri wa kuondoka ccm mchana wa jua kali , Nyalandu hakujiondoa ccm usiku
 
Kafie mbali na sredi zako uchwara. Kumsema JPM ni kukufuru muumba wako
 
A
Nyalandu aliokolewa na Network yake USA , si kwamba hakutakiwa kumalizwa , uliza wakubwa wakueleze vizuri , na hiyo network ndio ilimpa ujasiri wa kuondoka ccm mchana wa jua kali , Nyalandu hakujiondoa ccm usiku
Acha hadithi za kutunga wewe
 
Nyie huwa hamna agenda zingine!?,lissu,lissu,hii hoja inafaida gn kwenye nchi au taifa?!, eti lazaro nyalandu,huyu bonge la fisadi,na huo ufisadi mliuibua wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…