Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,622
- 4,100
Nipo kwenye mada kuruka ruka kwa maharage ndio kuiva kwake .Usianzishe jambo usiloweza kulimaliza .Jikite kwenye mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo kwenye mada kuruka ruka kwa maharage ndio kuiva kwake .Usianzishe jambo usiloweza kulimaliza .Jikite kwenye mada
Sijawahi kushindwaNipo kwenye mada kuruka ruka kwa maharage ndio kuiva kwake .Usianzishe jambo usiloweza kulimaliza .
Mkuu habari za geitaLazaro alikosa uwaziri akanuna 🤣 , akautema ubunge
Angejua Waziri Wala asingehamia huko chama Cha kichaga😂
Salama mkuu, habari za hapo desderia JikoniMkuu habari za geita
Nasikia ana mpini hadi Mange anaogopa kupostKashachafua hali ya hewa huko kwa mange kimambi!!! Watu wanasubiria sikukuu ya eid tu ifike connection yake iwe mtandaoni
Awe makini, connection yake ya mwisho isiwe ya kwake.Ila mange yule mama hicho anachokifanya atakuja afe kifo cha kutatanisha. Hata kama yupo mbali watamnasa tu wammalize
mkuu kama umeangalia post ile kampost akiwa lodge kifua wazi hapo tu hata kama asipoiachia tayari ameshamchafuaAwe makini, connection yake ya mwisho isiwe ya kwake.
Ndege hata awe mjanja vipi as long anaruka ruka na kutua maeneo yenye mapaka kuna siku atalivaa kofi lenye kucha.
Mwanzoni alikuwa anavujisha hizi za watu wanajirekodi, pesa imekuwa tamu, ananunua sasa picha, video, maongezi n.k kitu kinachopelekea watu watumie mbinu kupata connection wakauze. Tunapoelekea zitaanza kutegeshwa camera mahotelini.mkuu kama umeangalia post ile kampost akiwa lodge kifua wazi hapo tu hata kama asipoiachia tayari ameshamchafua
Kweli aisee.......Nyalanda was a Great ManNyalandu humjui... Huyo mtu anajiamini, sio chawa, sio dhaifu. Kama kweli alifanya hayo mbona jiwe halikumpandisha kotini??? Nyalandu ni mwanaume na nusu wewe.... Jiwe mwenyewe alimpigia salute. Nyalandu Hana makelele lakini nakwambia he is a man and a half, na haiitaji kuwa kiongozi Ili awndeshe maisha yake na ndo MAANA alijivua wadhifa zake zote kupinga alichoamini hakipo sawa... Halafu kichwani yupo vizuri yule... Elimu yake sio ya kukariri
Anaishi vizuri tu. Watu wanachinja Binadamu wenzao na wanakula Raha sembuse aliyekuw anakula Mbususu?Huyu jamaa ndie anetrend kule kwa Mange? Hii Dunia Kwisha Habari yake. Sijui anaishi vipi huko alipo? Na kama na watoto??
Gwajiboy mbona hadi leo yuko vizuri na anaendelea na Injili?Huyu jamaa ndie anetrend kule kwa Mange? Hii Dunia Kwisha Habari yake. Sijui anaishi vipi huko alipo? Na kama na watoto??
Wewe mpe moyo tu. Kuna sababu kwa nini hayo mambo ya ngono hufanywa kwenye faragha na milango kufungwa. Ikitokea jamii ikashuhudia hilo jambo, basi thamani yako ndani ya jamii inabadilika, haswa unapokuwa na familia.Anaishi vizuri tu. Watu wanachinja Binadamu wenzao na wanakula Raha sembuse aliyekuw anakula Mbususu?
Kwa sababu gwajima ali-survive ile scandal yake, haimaanishi kwamba bwana Nyalandu nae atapona. Bahati yake ni kwamba hizo video zipo kwenye himaya ya yule mpare, kwa hiyo watakaoziona ni wale members wake tu. Vinginevyo ingekuwa balaa.Gwajiboy mbona hadi leo yuko vizuri na anaendelea na Injili?