kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
unaanza dalili za kurudi ccm wewe mama kama unaanza kusifia waliorudi ccm inamaana unajuwa kabisa ccm ndiyo kwenyewe huko chadema mnateseka tu karibu CCMTungali tunaendelea na ule mwezi mtukufu wa Mungu , ambao ni mwezi huu wa 3 , fuatilia simulizi hii ya Nyalandu
View attachment 2933903
Pamoja na ukweli kwamba Nyalandu alirejea ccm baada ya Jiwe kuondoka , lakini bado Ukweli uko wazi kwamba ndiye Mwanaccm pekee aliyepinga Udikteta wa kishamba wa Jiwe hadharani , ilikuwa hatari sana kwake , maana angeweza hata kuuliwa kwa kitendo hicho .
Haijawahi kuwa utamaduni wa wanaccm kujivua vyeo kwa sababu ya Uchafu wa kiongozi mkuu , huyu rekodi yake haiwezi kufanana hata na Mrema ambaye alisubiri kwanza apokonywe Cheo ndio atoke , tena baada ya kuahidiwa vyeo vikubwa huko alikoenda .
Mamluki wa Jiwe akiwemo Hamis Kigwangwala alitangaza bungeni kwamba atamshitaki Nyalandu Mahakamani kama sehemu ya vitisho vya kumshughulikia , Lakini hadi Kigwangwala anazeeka hakuwahi kwenda hata kwa mjumbe wa nyumba 10 kumshitaki Nyalandu
Pamoja na kwamba Nyalandu amerejea CCM kwa sababu za kimaisha lakini atabakia kuwa miongoni mwa wanaccm waliomdhalilisha Jiwe hadharani , huyu alipinga ROHO MBAYA YA KINYAMA YA JIWE KUZUIA WANACCM KWENDA KUMUONA LISSU HOSPITALI BAADA YA KUJERUHIWA NA MAMLUKI WALIOTUMWA NA SERIKALI YA JIWE (HII NI KWA MUJIBU WA TUNDU LISSU MWENYEWE) , hata hivyo Mzee Mwinyi (RIP) alikataa unafiki huo na kuamua kwenda Nairobi kumuona Lissu bila kujali lolote (hii ilichagizwa na ucha Mungu wake) , Wanaccm wengine wote waliufyata kwa hofu ya kutekwa na kuuawa .
NITASEMA KWELI DAIMA FITNA KWANGU MWIKO
Nirudi ili niwekewe Sumu ?unaanza dalili za kurudi ccm wewe mama kama unaanza kusifia waliorudi ccm inamaana unajuwa kabisa ccm ndiyo kwenyewe huko chadema mnateseka tu karibu CCM
Aliyesema nyalandu ni fisadi anauza wanyama na kugawa vitalu maneno hayo yalitoka kwenye jukwaa la chadema na viongozi wake kwa style ile ile ya lowassa sisi wananchi huwa tunawaamini sana viongozi wa chadema wakituambia jambo vipi leo hii utubadilishie!
Walimwibia kura zake wakampa Tundu Antipas Lisuilikua bado kidogo kidogo apeperushe bendera ya cdm 2020, nadhani cdm kuna la kutafakari hapa
Sumaye alikimbia Sumu ChademaNirudi ili niwekewe Sumu ?
Weka ushahidiSumaye alikimbia Sumu Chadema
Ndo akamuua kuunga juhudi? Lissu mwamba tunae tena 2025 hapoWalimwibia kura zake wakampa Tundu Antipas Lisu
Atapambana na Mwigullu 2030Ndo akamuua kuunga juhudi? Lissu mwamba tunae tena 2025 hapo
Akamshinda Tundu Lisu kwenye kura za Maoni 🔥🔥MwanaCCM pekee aliyemdindishia Magufuli wakati wengine wote walikuwa wameufyata huku wakirhalilishwa kama Wastaafu wetu.
Mama mwenyew analalamika kuna wizi serikalini🤣, na hapo hapo mchengerwa anamwambia hizo ni za 2017 mpaka 2021, chapa ccm 2025Atapambana na Mwigullu 2030
Huko Chadema alikuta nyumbu tuu akaona bora CCM na akaondoka Chadema mchana kweupeee.Nyalandu aliokolewa na Network yake USA , si kwamba hakutakiwa kumalizwa , uliza wakubwa wakueleze vizuri , na hiyo network ndio ilimpa ujasiri wa kuondoka ccm mchana wa jua kali , Nyalandu hakujiondoa ccm usiku
Hoja siyo hiyo , ni kupinga udikteta wa JiweHuko Chadema alikuta nyumbu tuu akaona bora CCM na akaondoka Chadema mchana kweupeee.
Kwenda upinzani isingekuwa kinga kwa jinsi mazingira yalivyokuwa nyakati zile, vinginevyo ilikuwa ni kujipalia mkaa, na kujitia matatani.Hakupinga udikiteta, aliogopa kubanwa kuhusu twiga waliosafirishwa wakati akiwa Waziri wa Maliasili akakimbilia kwenye kinga ya upinzani.
Aliwahi kudhtakiwa na huyo mliyemwita Mzalendo?
Kama sivyo ccm wote ni kapu moja...ila Nyarandu aliukataa udikiteta kwa kumanisha
Lakini Nyalandu hamfikii Lissu hata kidogo.Lissu CHUMA cha Mjerumani.Akamshinda Tundu Lisu kwenye kura za Maoni 🔥🔥