Tetesi: Lazaro Nyalandu na Fatma Karume kugombea Urais kupitia CHADEMA 2020

Shangazi atafaa sana kuleta changamoto ya kura kule Unguja lakini kwa silka za kiislamu kuchaguliwa na wahafidhina raisi mwanamama itakuwa mtihani mkubwa.

Baloz Seif All Idd,Mama Samia wote ni potential candidate, Balozi karume wote wanafaa, bado mh Jussa
 
Vyama vya kihuni utavijua tu,badala ya kuweka mkazo kwenye chaguzi za ndani ili 2019 wapate mitaa na vijiji vingi,wao wanawaza kugawana ugombea urais,na watajwa wote hawana sifa
 
Tumeshasema hatutaki kupoteza pesa za uchaguzi wa Rais 2020. Hao wanaojipitisha wanamatatizo gani? Bora kudai katiba mpya kuliko uchaguzi usio na maana. Hivi kunamtu wa upinzani anadhani ana miujiza ya kushinda urais 2020 kwa katiba hii,time hii na utawala huu??
 
Kumbe na wewe huna uhakika unatuletea ubuyu hapa. Shut up!!
 
Mbona maccm mnaweweseka sana? Ila mtapata pigo kuuuubwa sana kabla ya 2020 na ndiyo utakuwa mwisho wenu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]eeeeh unajifananisha na China Taifa Lina miaka zaidi ya 40000.....mkuu au unachart umelala usingizini...
Acha woga mkuu ! Miaka us sabini ilikua kiuchumi na leo iko wapi ?
 
Inapendeza kuota mchana huku unatembea halafu ukiamka baada ya kujikwaa na jiwe harakaharaka unakimbilia simu mfukoni na kuandika kwenye JF ukidhani umeleta habari za kusisimua kumbe ndoto za mchana kuwafutinisha watu
 
Hahahaha
Mizee ya kukurupuka nyinyi kubadili gear angani uwiii
Ngojea fatma awamalize watoto wenu wa kiume ndio mtapata adabu nyinyi chadrama walahi
Hamjui mapepo yanavyo tembea walahi
Mkaribisheni tu na atakuja na mapepo yake ya ushoga walahi
M. S. E. N. G. E. R. E. M. A
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…