Tetesi: Lazaro Nyalandu na Mzee Lowassa kupeleka mapendekezo kwenye kamati kuu ya CHADEMA kuhusu ukomo wa nafasi ya mwenyekiti.

Tetesi: Lazaro Nyalandu na Mzee Lowassa kupeleka mapendekezo kwenye kamati kuu ya CHADEMA kuhusu ukomo wa nafasi ya mwenyekiti.

Ccm itaendelea kuwa ileile na haitabadilika kamwe.ccm hawana cha kujivunia labda watajivunia uroho wa madaraka na kuhujumu wananchi tu .
Ila ninyi ndio mtajivunia kukaa madarakani kidogo na kufata katiba ya chama kama anavofanya mh mbowe
 
Safi sana makamanda Lowasa na Nyalandu.
Kwa kuwa Chadema inajali democrasia bila shaka watasikiliza mawazo yenu na kuyafanyia kazi.

Itapendeza mno siku moja Nyalandu kijana msomi kutoka Ilboru na USA kuwa mwenyekiti wa Chadema.
Kama itakavyopendeza dada msomi kutoka ud napia na field bora kuliko yote nchini chadema juliana shonza kuwa mwenydkiti mpya wa ccm.magufuli abakie na kofia moja tu ya urais
 
Lumumba mzgoni
Wasalaam wana jamvi.

Wanachama mashuhuri ndani ya chadema Nyalandu na Lowasa wameandaa mapendekezo kuhusu ukomo wa mwenyekiti wa chama ndani ya chadema.

Mapendekezo hayo yanayo lenga kupendekeza mabadiliko kwenye baadhi ya vifungu kwenye katiba ya chadema ambayo yataweka ukomo wa uenyekiti kwa mtu mmoja na kuwa vipindi viwili tuu ambayo ni miaka kumi tuu na kumpisha mwingine...

Mapendekezo hayo wanataraji kuyawasilisha kwenye kikao kijacho cha kamati kuu na wanatarajia yawe chachu ya mabadiliko ndani ya chadema na kuendelea kuwa imara.
 
Wasalaam wana jamvi.

Wanachama mashuhuri ndani ya chadema Nyalandu na Lowasa wameandaa mapendekezo kuhusu ukomo wa mwenyekiti wa chama ndani ya chadema.

Mapendekezo hayo yanayo lenga kupendekeza mabadiliko kwenye baadhi ya vifungu kwenye katiba ya chadema ambayo yataweka ukomo wa uenyekiti kwa mtu mmoja na kuwa vipindi viwili tuu ambayo ni miaka kumi tuu na kumpisha mwingine...

Mapendekezo hayo wanataraji kuyawasilisha kwenye kikao kijacho cha kamati kuu na wanatarajia yawe chachu ya mabadiliko ndani ya chadema na kuendelea kuwa imara.
MwanaCcm ndio umekuwa msemaji wa chadema !!!!
 
Wasalaam wana jamvi.

Wanachama mashuhuri ndani ya chadema Nyalandu na Lowasa wameandaa mapendekezo kuhusu ukomo wa mwenyekiti wa chama ndani ya chadema.

Mapendekezo hayo yanayo lenga kupendekeza mabadiliko kwenye baadhi ya vifungu kwenye katiba ya chadema ambayo yataweka ukomo wa uenyekiti kwa mtu mmoja na kuwa vipindi viwili tuu ambayo ni miaka kumi tuu na kumpisha mwingine...

Mapendekezo hayo wanataraji kuyawasilisha kwenye kikao kijacho cha kamati kuu na wanatarajia yawe chachu ya mabadiliko ndani ya chadema na kuendelea kuwa imara.
Mbona umeandika with passion?
 
NAONA MNASHINDANA KUANZISHA NYUZI ZA UONGO LEO. MWENZAKO ASUBUHI ALILETA YA NASARI KUJIUZULU NAFASI ZOTE, BAADA YA KUSHUSHULIWA HAJAONEKANA TENA MPAKA SASA
 
Kama kweli, patamu sana hapo,ila na shaka,watafyekwa mapema sana kabla hawajawasilisha,kwa kigezo cha wao kuwa ni wasaliti ndani ya chama,Mbowe ni mwenyekiti wa maisha
Umeona ehh
 
Na kwetu jamani Mwenyekiti awe anachaguliwa na si kupitishwa miaka 10 bila kupingwa kha!!
 
Back
Top Bottom