kimu mazengo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 927
- 733
Ccm itaendelea kuwa ileile na haitabadilika kamwe.ccm hawana cha kujivunia labda watajivunia uroho wa madaraka na kuhujumu wananchi tu .Mbona kama umeumia mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ccm itaendelea kuwa ileile na haitabadilika kamwe.ccm hawana cha kujivunia labda watajivunia uroho wa madaraka na kuhujumu wananchi tu .Mbona kama umeumia mkuu
Ila ninyi ndio mtajivunia kukaa madarakani kidogo na kufata katiba ya chama kama anavofanya mh mboweCcm itaendelea kuwa ileile na haitabadilika kamwe.ccm hawana cha kujivunia labda watajivunia uroho wa madaraka na kuhujumu wananchi tu .
Na wew na mwanachadema?Jinga kubwa wewHILI JAMBO NI LA CHADEMA
Kwenye mchakato wa kumpata m/kiti ccm taifa kura hupigwa???Ila ninyi ndio mtajivunia kukaa madarakani kidogo na kufata katiba ya chama kama anavofanya mh mbowe
Kama itakavyopendeza dada msomi kutoka ud napia na field bora kuliko yote nchini chadema juliana shonza kuwa mwenydkiti mpya wa ccm.magufuli abakie na kofia moja tu ya uraisSafi sana makamanda Lowasa na Nyalandu.
Kwa kuwa Chadema inajali democrasia bila shaka watasikiliza mawazo yenu na kuyafanyia kazi.
Itapendeza mno siku moja Nyalandu kijana msomi kutoka Ilboru na USA kuwa mwenyekiti wa Chadema.
AAA tena huyo ndio anaijua vizuri, mwambie akusomee katiba yenu sehemu ya ukomo wa muda wa Mwenyekiti.Mkuu kuwa mpole anayepeleka ni Mh LOWASA
sisi utaratibu ni miaka kumi tu basi, hamna uroho wa namna hiyo wa kukaa miaka 20 mtu mmoja na asiwepo wa kuhojiKwenye mchakato wa kumpata m/kiti ccm taifa kura hupigwa???
Wasalaam wana jamvi.
Wanachama mashuhuri ndani ya chadema Nyalandu na Lowasa wameandaa mapendekezo kuhusu ukomo wa mwenyekiti wa chama ndani ya chadema.
Mapendekezo hayo yanayo lenga kupendekeza mabadiliko kwenye baadhi ya vifungu kwenye katiba ya chadema ambayo yataweka ukomo wa uenyekiti kwa mtu mmoja na kuwa vipindi viwili tuu ambayo ni miaka kumi tuu na kumpisha mwingine...
Mapendekezo hayo wanataraji kuyawasilisha kwenye kikao kijacho cha kamati kuu na wanatarajia yawe chachu ya mabadiliko ndani ya chadema na kuendelea kuwa imara.
MwanaCcm ndio umekuwa msemaji wa chadema !!!!Wasalaam wana jamvi.
Wanachama mashuhuri ndani ya chadema Nyalandu na Lowasa wameandaa mapendekezo kuhusu ukomo wa mwenyekiti wa chama ndani ya chadema.
Mapendekezo hayo yanayo lenga kupendekeza mabadiliko kwenye baadhi ya vifungu kwenye katiba ya chadema ambayo yataweka ukomo wa uenyekiti kwa mtu mmoja na kuwa vipindi viwili tuu ambayo ni miaka kumi tuu na kumpisha mwingine...
Mapendekezo hayo wanataraji kuyawasilisha kwenye kikao kijacho cha kamati kuu na wanatarajia yawe chachu ya mabadiliko ndani ya chadema na kuendelea kuwa imara.
Mbona umeandika with passion?Wasalaam wana jamvi.
Wanachama mashuhuri ndani ya chadema Nyalandu na Lowasa wameandaa mapendekezo kuhusu ukomo wa mwenyekiti wa chama ndani ya chadema.
Mapendekezo hayo yanayo lenga kupendekeza mabadiliko kwenye baadhi ya vifungu kwenye katiba ya chadema ambayo yataweka ukomo wa uenyekiti kwa mtu mmoja na kuwa vipindi viwili tuu ambayo ni miaka kumi tuu na kumpisha mwingine...
Mapendekezo hayo wanataraji kuyawasilisha kwenye kikao kijacho cha kamati kuu na wanatarajia yawe chachu ya mabadiliko ndani ya chadema na kuendelea kuwa imara.
Utaratibu gani mbovu wa m/kiti kukaa miaka kumi mfululizo bila ya kura ya maoni??sisi utaratibu ni miaka kumi tu basi, hamna uroho wa namna hiyo wa kukaa miaka 20 mtu mmoja na asiwepo wa kuhoji
Umeona ehhKama kweli, patamu sana hapo,ila na shaka,watafyekwa mapema sana kabla hawajawasilisha,kwa kigezo cha wao kuwa ni wasaliti ndani ya chama,Mbowe ni mwenyekiti wa maisha