Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio kazi inayokufaa mfia chamaWasalaam wana jamvi.
Wanachama mashuhuri ndani ya chadema Nyalandu na Lowasa wameandaa mapendekezo kuhusu ukomo wa mwenyekiti wa chama ndani ya chadema.
Mapendekezo hayo yanayo lenga kupendekeza mabadiliko kwenye baadhi ya vifungu kwenye katiba ya chadema ambayo yataweka ukomo wa uenyekiti kwa mtu mmoja na kuwa vipindi viwili tuu ambayo ni miaka kumi tuu na kumpisha mwingine...
Mapendekezo hayo wanataraji kuyawasilisha kwenye kikao kijacho cha kamati kuu na wanatarajia yawe chachu ya mabadiliko ndani ya chadema na kuendelea kuwa imara.
Huyo bushlawyer huwa hana kazi msamehe bureIla hii imekaa kama vile umeitunga tu!!!!🙄🙄🙄
Hawa ndo wazikachama,mabeberu wa kuaga mwili wa chama wako nyuma.Ndio kazi inayokufaa mfia chamaView attachment 909675
mnahangaika nn waachini wanachama waamue kupitia katiba ila kweli Mbowe ni kamanda anaohopwa sana na ccmWasalaam wana jamvi.
Wanachama mashuhuri ndani ya chadema Nyalandu na Lowasa wameandaa mapendekezo kuhusu ukomo wa mwenyekiti wa chama ndani ya chadema.
Mapendekezo hayo yanayo lenga kupendekeza mabadiliko kwenye baadhi ya vifungu kwenye katiba ya chadema ambayo yataweka ukomo wa uenyekiti kwa mtu mmoja na kuwa vipindi viwili tuu ambayo ni miaka kumi tuu na kumpisha mwingine...
Mapendekezo hayo wanataraji kuyawasilisha kwenye kikao kijacho cha kamati kuu na wanatarajia yawe chachu ya mabadiliko ndani ya chadema na kuendelea kuwa imara.
buku 7 ni per day tena baada ya kuanzisha mada sii chini ya 5 za kuikashifu Chadema.Mkuu hz elfu 7 huwa wanapewa kila siku ama zinakuwa accumulated let's say mpk Mwisho wa mwezi?