Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Future impossible tenseSafi sana makamanda Lowasa na Nyalandu.
Kwa kuwa Chadema inajali democrasia bila shaka watasikiliza mawazo yenu na kuyafanyia kazi.
Itapendeza mno siku moja Nyalandu kijana msomi kutoka Ilboru na USA kuwa mwenyekiti wa Chadema.
Mbowe anawafanya msilale wachawi nyieKwani kwenye hii mada ametajwa Mbowe?
Chadema ni cha kinachofuata demokrasia,utaratibu wa uteuzi wa wajumbe upo kishera.kwani kila kamanda lazima awe kwenye kamati kuu??? Ccm hufanya uteuzi locally bila ya hata kura ya maoni.tumeshuhudia wahamiaji wakipitishwa kutetea jimbo wakati huo wajumbe waliwapinga vibaya mno,lakin cha ajabu wakapenya na sasa ni washindi zero wa ubunge .Nyalandu aliteuliwa lini kuwa mjumbe wa kamati kuu??
Source please!! Maana naona imekaa kama ya mtaa wa wanafiki wa LumumbaWasalaam wana jamvi.
Wanachama mashuhuri ndani ya chadema Nyalandu na Lowasa wameandaa mapendekezo kuhusu ukomo wa mwenyekiti wa chama ndani ya chadema.
Mapendekezo hayo yanayo lenga kupendekeza mabadiliko kwenye baadhi ya vifungu kwenye katiba ya chadema ambayo yataweka ukomo wa uenyekiti kwa mtu mmoja na kuwa vipindi viwili tuu ambayo ni miaka kumi tuu na kumpisha mwingine...
Mapendekezo hayo wanataraji kuyawasilisha kwenye kikao kijacho cha kamati kuu na wanatarajia yawe chachu ya mabadiliko ndani ya chadema na kuendelea kuwa imara.
Hapana, huyu ni kamanda mwenyew.by mbunge nje ya bunge.Source please!! Maana naona imekaa kama ya mtaa wa wanafiki wa Lumumba
Mkuu hz elfu 7 huwa wanapewa kila siku ama zinakuwa accumulated let's say mpk Mwisho wa mwezi?Haya kapokee buku 7 yako
Chadema imewashika pabaya kweri-kweriWasalaam wana jamvi.
Wanachama mashuhuri ndani ya chadema Nyalandu na Lowasa wameandaa mapendekezo kuhusu ukomo wa mwenyekiti wa chama ndani ya chadema.
Mapendekezo hayo yanayo lenga kupendekeza mabadiliko kwenye baadhi ya vifungu kwenye katiba ya chadema ambayo yataweka ukomo wa uenyekiti kwa mtu mmoja na kuwa vipindi viwili tuu ambayo ni miaka kumi tuu na kumpisha mwingine...
Mapendekezo hayo wanataraji kuyawasilisha kwenye kikao kijacho cha kamati kuu na wanatarajia yawe chachu ya mabadiliko ndani ya chadema na kuendelea kuwa imara.
Na wakithubutu kuwatoa hao ilio wataja. Tutaongea lugha nyingine.. Hakina mtu mwenye hamu na Ccm kwenye sanduku la kura. Nina mashaka hata number one alompa Lowasa kuraKama ccm vile nasikia makada wameaandaa waraka wa mahususi kabisa kwamba rais asiwe mwenyekiti wa chama, maana wamechangia kukiua chama, mpaka sasa wamekuwa wakisurvive kwa msaada wa tiss, jwtz, police na ndugu zenu NEC.
Nasikia wanachama wamechoka kubebwa kwenye hiyo mbeleko ya tiss, jwtz,police, nec we subiri jiwe akiitisha kikao pale magogoni, lazima moto wake.
Hii misukule ya lumumba wanajua wanajua wanachokipata.Mkuu hz elfu 7 huwa wanapewa kila siku ama zinakuwa accumulated let's say mpk Mwisho wa mwezi?
Jpm anafahamu kwamb ccm haikubaliki ndo maana lazm watumie polis.taarifa ziliripotiwa kwamb sababu chini ya ya mabawa ya kuku,kupunguza wajumbe NEC ni kumhoji raid kwanin rais lazima wae m/kiti ccm taifa??? Wajumbe waliohoji hivyo wakaondolewa soon.kwa hivyo maccm yanazidi kunyumbulika.Na wakithubutu kuwatoa hao ilio wataja. Tutaongea lugha nyingine.. Hakina mtu mwenye hamu na Ccm kwenye sanduku la kura. Nina mashaka hata number one alompa Lowasa kura
Naomba iwe kweli hii,ungozi uliopo Chadema kwa sasa umeishiwa pumzi.Ila hii imekaa kama vile umeitunga tu!!!!🙄🙄🙄
Kwahiyo ccm imekufa kabisa sio??Naomba iwe kweli hii,ungozi uliopo Chadema kwa sasa umeishiwa pumzi.
Hii ndiyo inaitwa: Ramli chonganishiWasalaam wana jamvi.
Wanachama mashuhuri ndani ya chadema Nyalandu na Lowasa wameandaa mapendekezo kuhusu ukomo wa mwenyekiti wa chama ndani ya chadema.
Mapendekezo hayo yanayo lenga kupendekeza mabadiliko kwenye baadhi ya vifungu kwenye katiba ya chadema ambayo yataweka ukomo wa uenyekiti kwa mtu mmoja na kuwa vipindi viwili tuu ambayo ni miaka kumi tuu na kumpisha mwingine...
Mapendekezo hayo wanataraji kuyawasilisha kwenye kikao kijacho cha kamati kuu na wanatarajia yawe chachu ya mabadiliko ndani ya chadema na kuendelea kuwa imara.
Wew achana na ya Chadema hayakuhusuWasalaam wana jamvi.
Wanachama mashuhuri ndani ya chadema Nyalandu na Lowasa wameandaa mapendekezo kuhusu ukomo wa mwenyekiti wa chama ndani ya chadema.
Mapendekezo hayo yanayo lenga kupendekeza mabadiliko kwenye baadhi ya vifungu kwenye katiba ya chadema ambayo yataweka ukomo wa uenyekiti kwa mtu mmoja na kuwa vipindi viwili tuu ambayo ni miaka kumi tuu na kumpisha mwingine...
Mapendekezo hayo wanataraji kuyawasilisha kwenye kikao kijacho cha kamati kuu na wanatarajia yawe chachu ya mabadiliko ndani ya chadema na kuendelea kuwa imara.