Tetesi: Lazaro Nyalandu na Mzee Lowassa kupeleka mapendekezo kwenye kamati kuu ya CHADEMA kuhusu ukomo wa nafasi ya mwenyekiti.

Ndio kazi inayokufaa mfia chama
 
mnahangaika nn waachini wanachama waamue kupitia katiba ila kweli Mbowe ni kamanda anaohopwa sana na ccm
 
Episode ya Kommu na Kubenea imeisha sasa team Lumumba B7 wanawaletea episode Nyalandu na Lowassa stay tuned....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…