Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akihama na siasa inamkimbia atakuwa amejimaliza mwenyeweIkitokea lissu kashindwa lazima atahama chama kwa jinsi alivyopania kushindwa na Magufuli
Huwa unanikosha sana na majibu yako murua!Maana yake kulikuwa na zaidi ya fomu moja ya mgombea.
Eti Nyalandu naye leo amekuwa Mwanaharakati.Nyalandu asisahau yaliyomkuta Sumaye.
Kiufupi simkubali Nyalandu
Sumu hailambwi!!
Akitolea mfano wale wa ccm na bashiteKauli hii ya Nyalandu inatoa picha gani? Kuna nini anachokihofia kuelekea kura za maoni kumpata mgombea urais CHADEMA?
Kwa kauli hii atakubaliana na matokeo kweli ikiwa hatochaguliwa?
Maana yake kulikuwa na zaidi ya fomu moja ya mgombea.
Nyalandu alambe sumu asilambe, yeye ni ccm fullstop.
KabisaIkitokea lissu kashindwa lazima atahama chama kwa jinsi alivyopania kushindwa na Magufuli