Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu: Wajumbe karne hii wanajua cha kufanya hawapokei maelekezo kutoka juu

Uchaguzi 2020 Lazaro Nyalandu: Wajumbe karne hii wanajua cha kufanya hawapokei maelekezo kutoka juu

wajumbe wa safari hii hawamwachi mtu salama nyalandu anapita kiulainiiii
Ngoja waje wafanye kosa kwa kutuletea CCM B,
Na hawatakaa waamini kitakacho wakuta, Mbowe anaenda kukimaliza Chama maana hii itakuwa ni mara ya pili anacheza na akili za wapiga Kura

Stay tune....
 
Nihvi hata chadema wakijichanganya kumpitisha huyo mamluki wa ccm wajuwe kabisa hata dunia itawashangaa na huku mtaani patanuka
 
Kama akili hii uloandikia hapa ndio unaitumia ktk maisha basi wanaokutegemea wajiandae kufa njaa
Lissu hana mpinzani CHADEMA pia hana mpinzani kwenye uchaguzi mkuu. Meko aanze kuandaa mashamba ya viazi kule Chato.
 
Waziri wa Vitalu zamani,Hana Mchezo Ujue...Pesa mingi mingi inasemekana...Wajumbe inawezekana walishafuatwa makwao na Kufanyiwa mabo makubwa??
jamaaa anasubiria Muda tuu!
Hata kuandika hujui....Pimbi
 
LISSU ndiye mwenye uwezo wa kumtingisha jiwe. Nina imani chadema hawatafanya kosa. Waangalie kwanza ule umati uliompokea Lissu uwanja wa ndege pamoja na kuwepo msiba na mkwara wa polisi. Lissu for Presidency
 
Nyalandu hebu utulize, huna uwezo wa kupambana na Magufuli. Lissu anatosha.
Nyarandu hana uwezo wa kumshinda Lissu kwa 100% unless sio Lissu ninayemfahamu.
Nataka Lissu apite ili kuwe na competition nzuri katika uchaguzi.
 
tatizo Nyalandu hataweza kumtia Jiwe kashikashi za nguvu kwenye uchaguzi mkuu...hilo tuu kwangu ndo linanipa mashaka.

otherwise namkubali Nyalandu kwa ujasiri/uthubutu kuacha ubunge ccm na kuja upinzani...tena awamu hii ya Jiwe sio jambo la kitoto!!!.
Alishajiimarisha kiuchumi, kinachowafanya watu waende ccm sio mapenzi kwa chama bali uhakika wa kupata fedha safi na chafu bila usumbufu.
 
Tahadhari kwa kamati kuu, Mgombea mtakaemleta Kwa raia awe ni yule aliekipigania chama mpaka hapa kilipo, Mapandikizi safari hii hawana nafasi
 
Japo ni Uhuru wake lkn kauli hii sio nzuri kabisa.........

Akiwa ccm hawezi kusema namna hii. Ndio maana tunasema Lissu a atosha maana nyalandu hana kifua cha kupambana na dikteta
 
Wanasiasa wenye akili na waliokomaa huamua kujitoa iwapo kuna mwanzeo anaonekana kukubalika zaidi ila huu utamaduni sisi hatuna labda kwa mtu kununuliwa.
Hili suala umeling'ang'ania sana la mtu kujitoa..
Wasiwasi wako nini?
Kama Lissu anakubalika Nyalandu ajitoe asijitoe Lissu at apita.
 
Tahadhari kwa kamati kuu, Mgombea mtakaemleta Kwa raia awe ni yule aliekipigania chama mpaka hapa kilipo, Mapandikizi safari hii hawana nafasi
Acha kuingilia majukumu ya Wajumbe mkuu acha demokrasia ifanye kazi hakuna kuenda na jina mkononi, atakae shinda ndio chaguo la wengi huyo.
 
Hili suala umeling'ang'ania sana la mtu kujitoa..
Wasiwasi wako nini?
Kama Lissu anakubalika Nyalandu ajitoe asijitoe Lissu at apita.
Ushangae na wewe mkuu, Mimi ninachowaomba Chadama wajiandae tu kukubaliana na matokeo yoyote yatakayo kuja.
 
Back
Top Bottom