Karibu Sana
JF-Expert Member
- Mar 14, 2020
- 991
- 1,765
Ngumu kumesa lisu kumshinda magufuli ujue ndio mwisho wa duniaLissu hana mpinzani CHADEMA pia hana mpinzani kwenye uchaguzi mkuu. Meko aanze kuandaa mashamba ya viazi kule Chato.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngumu kumesa lisu kumshinda magufuli ujue ndio mwisho wa duniaLissu hana mpinzani CHADEMA pia hana mpinzani kwenye uchaguzi mkuu. Meko aanze kuandaa mashamba ya viazi kule Chato.
Atabaki yeye na wajumbe .Huyu Waziri wa Vitalu inawezekana?Kashamaliza Kazi kwa wajumbe huko Makwao zamani Kitambo anasubiria tuu siku ya Mkutano kuwashangaza watu...na Haya Mambo hayana Ushahidi!Fedha fedha....
jamaa ni nomaaa kimya Kimya...ndio maana anatahadharisha maagizo toka Juu!
inabidi chama Chao maamuzi ya Mwisho yafanyike Na Mwenyekiti kama cha cha kijani!
Akiunga juhudi CHADEMA watapoteana na hakitapata hata kura laki moja.Itakuwa ni fursa kwa ACT kuimarika ghaflaAsije kuunga juhudi tu
Wanasiasa wenye akili na waliokomaa huamua kujitoa iwapo kuna mwanzeo anaonekana kukubalika zaidi ila huu utamaduni sisi hatuna labda kwa mtu kununuliwa.Nyalandu anasindikiza tu, hawezi kupewa nafasi ya kupeperusha bendera ya CDM.
Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
Yasiwe Yale ya SUMAEAsije tu baadae akaanza kulialia na kashfa kibao ikitokea Wajumbe wakafanya yao.
Akishindwa lazima TU Ataunga juhudi, mark my wordsAsije kuunga juhudi tu
Hamuishi kutoa nabii zisizotimiaAkiunga juhudi CHADEMA watapoteana na hakitapata hata kura laki moja.Itakuwa ni fursa kwa ACT kuimarika ghafla
Hii nchi huijuiLissu hana mpinzani CHADEMA pia hana mpinzani kwenye uchaguzi mkuu. Meko aanze kuandaa mashamba ya viazi kule Chato.
Me nadhani ndio plan B ya Mbowe... let's wait and seeIkitokea lissu kashindwa lazima atahama chama kwa jinsi alivyopania kushindwa na Magufuli
Politically.,. Nyalandu has an edge complimented with experienceNyalandu hebu utulize, huna uwezo wa kupambana na Magufuli. Lissu anatosha.
Maana yake kulikuwa na zaidi ya fomu moja ya mgombea.