Lazaro Nyalandu: Watanzania sasa wameunganishwa, hapa katikati tuligawanywa

Lazaro Nyalandu: Watanzania sasa wameunganishwa, hapa katikati tuligawanywa

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Nyalandu anasema aliondoka CCM kwasababu kuna mambo hayakuwa sawa. Lakini sasa tunaona rais anahudhuria mpaka hafla za wapinzani. (Source:. StarTV Medani za Siasa muda huu).

Wazee wa legacy mpo? Wengi wanamsema mungu wenu.

* Mzee Diallo...tulikuwa na rais aliyepaswa kuwa Milembe.
" Zitto Kabwe... Magufuli alichoma shamba langu la korosho Mtwara.
  • Askofu Mwingira kulikuwa na shetani ikulu.
  • Nape Nnauye.. Mungu ameamulia ugomvi
  • Mzee Wasira... Watanzania sasa wamepumua
  • Membe...watanzania hawatekwi tena wala maiti haziokotwi kwenye viroba.
 
Mhe Nyalandu anasema aliondoka ccm kwasabb kuna mambo hayakuwa sawa. Lkn sasa tunaona rais anahudhuria mpk hafla za wapinzani. (Source:. StarTV Medani za Siasa muda huu).

Wazee wa legacy mpo?? Wengi wanamsema mungu wenu.

*Mzee Diallo...tulikuwa na rais aliyepaswa kuwa Milembe.
"Zitto Kabwe... Magufuli alichoma shamba langu korosho Mtwara.
*Askofu Mwingira kulikuwa na shetani ikulu.
*Nape Nnauye.. Mungu ameamulia ugomvi
*Mzee Wasira... Watanzania sasa wamepumua
*Membe...watanzania hawatekwi tena wala maiti haziokotwi kwenye viroba.
Hakuna mtu mwenye akili timamu atamsemea mazuri Mwendazake maana habebeki ila mburula ndio alikuwa mtu wao..

Vile akiwaigizia anakula mahindi basi walikuwa wanaona ni mnyongwe mwenzao 😄😄
 
Mbowe anaombaomba mitaani kwa kisingizio cha join the chain
 
Leo na mm naweka kauli yangu kuhusu Magufuli,. Muanze kuninukuu.
Sexless : nchi yetu ilikuwa inaongozwa na chizi.
Hakuna mtu mwenye akili timamu atamsemea mazuri Mwendazake maana habebeki ila mburula ndio alikuwa mtu wao..

Vile akiwaigizia anakula mahindi basi walikuwa wanaona ni mnyongwe mwenzao 😄😄
 
Nyalandu anasema aliondoka CCM kwasababu kuna mambo hayakuwa sawa. Lakini sasa tunaona rais anahudhuria mpaka hafla za wapinzani. (Source:. StarTV Medani za Siasa muda huu).

Wazee wa legacy mpo? Wengi wanamsema mungu wenu.

* Mzee Diallo...tulikuwa na rais aliyepaswa kuwa Milembe.
" Zitto Kabwe... Magufuli alichoma shamba langu la korosho Mtwara.
  • Askofu Mwingira kulikuwa na shetani ikulu.
  • Nape Nnauye.. Mungu ameamulia ugomvi
  • Mzee Wasira... Watanzania sasa wamepumua
  • Membe...watanzania hawatekwi tena wala maiti haziokotwi kwenye viroba.
Makamba- sasa tu akula asali
 
Nyalandu anasema aliondoka CCM kwasababu kuna mambo hayakuwa sawa. Lakini sasa tunaona rais anahudhuria mpaka hafla za wapinzani. (Source:. StarTV Medani za Siasa muda huu).

Wazee wa legacy mpo? Wengi wanamsema mungu wenu.

* Mzee Diallo...tulikuwa na rais aliyepaswa kuwa Milembe.
" Zitto Kabwe... Magufuli alichoma shamba langu la korosho Mtwara.
  • Askofu Mwingira kulikuwa na shetani ikulu.
  • Nape Nnauye.. Mungu ameamulia ugomvi
  • Mzee Wasira... Watanzania sasa wamepumua
  • Membe...watanzania hawatekwi tena wala maiti haziokotwi kwenye viroba.
Hao wote uliowataja ni watu wa fursa. Huyo kiongozi wa dini ye alifungua hadi benki. Alichukua mashamba ya wananchi kibaha.

Huyo Nape ye huwa anaamini ana hisa kwenye hii nchi.

Huyo wassira ye huwa anaamini anatakiwa awepo madarakani nyakati zote. Alitakaga kupigana na esther bulaya jimboni baada ya kugalagazwa uchaguzi 2015.

Huyo Membe alifungua hotel mtwara na hakuwahi kulipa kodi. 2016 TRA wakapiga utepe mwekundu hotel.
Ana shutuma ya kupiga bill 200 zilizotolewa na serikali kwa ajili ya mchakato wa kuanzisha kiwanda cha cement lindi.

Diallo ye aliamini ukiwa ccm basi we vunja sheria tu. Magu akamfundisha utaratibu wa kuishi hasa unapokuwa kiongozi ili uwe mfano kwa wengine. Alipodaiwa kodi ikawa shida.

Hawa wote Magu aliwajua nje ndani na hakutaka kuwalazia damu.
 
Hao wote uliowataja ni watu wa fursa. Huyo kiongozi wa dini ye alifungua hadi benki. Alichukua mashamba ya wananchi kibaha.

Huyo Nape ye huwa anaamini ana hisa kwenye hii nchi.

Huyo wassira ye huwa anaamini anatakiwa awepo madarakani nyakati zote. Alitakaga kupigana na esther bulaya jimboni baada ya kugalagazwa uchaguzi 2015.

Huyo Membe alifungua hotel mtwara na hakuwahi kulipa kodi. 2016 TRA wakapiga utepe mwekundu hotel.
Ana shutuma ya kupiga bill 200 zilizotolewa na serikali kwa ajili ya mchakato wa kuanzisha kiwanda cha cement lindi.

Diallo ye aliamini ukiwa ccm basi we vunja sheria tu. Magu akamfundisha utaratibu wa kuishi hasa unapokuwa kiongozi ili uwe mfano kwa wengine. Alipodaiwa kodi ikawa shida.

Hawa wote Magu aliwajua nje ndani na hakutaka kuwalazia damu.
Una akili ndogo sana, umejenga hoja kama darasa la tatu bora ungekaa kimya.
 
Hao wote uliowataja ni watu wa fursa. Huyo kiongozi wa dini ye alifungua hadi benki. Alichukua mashamba ya wananchi kibaha.

Huyo Nape ye huwa anaamini ana hisa kwenye hii nchi.

Huyo wassira ye huwa anaamini anatakiwa awepo madarakani nyakati zote. Alitakaga kupigana na esther bulaya jimboni baada ya kugalagazwa uchaguzi 2015.

Huyo Membe alifungua hotel mtwara na hakuwahi kulipa kodi. 2016 TRA wakapiga utepe mwekundu hotel.
Ana shutuma ya kupiga bill 200 zilizotolewa na serikali kwa ajili ya mchakato wa kuanzisha kiwanda cha cement lindi.

Diallo ye aliamini ukiwa ccm basi we vunja sheria tu. Magu akamfundisha utaratibu wa kuishi hasa unapokuwa kiongozi ili uwe mfano kwa wengine. Alipodaiwa kodi ikawa shida.

Hawa wote Magu aliwajua nje ndani na hakutaka kuwalazia damu.
Ccm imeoza.
 
Hao wote uliowataja ni watu wa fursa. Huyo kiongozi wa dini ye alifungua hadi benki. Alichukua mashamba ya wananchi kibaha.

Huyo Nape ye huwa anaamini ana hisa kwenye hii nchi.

Huyo wassira ye huwa anaamini anatakiwa awepo madarakani nyakati zote. Alitakaga kupigana na esther bulaya jimboni baada ya kugalagazwa uchaguzi 2015.

Huyo Membe alifungua hotel mtwara na hakuwahi kulipa kodi. 2016 TRA wakapiga utepe mwekundu hotel.
Ana shutuma ya kupiga bill 200 zilizotolewa na serikali kwa ajili ya mchakato wa kuanzisha kiwanda cha cement lindi.

Diallo ye aliamini ukiwa ccm basi we vunja sheria tu. Magu akamfundisha utaratibu wa kuishi hasa unapokuwa kiongozi ili uwe mfano kwa wengine. Alipodaiwa kodi ikawa shida.

Hawa wote Magu aliwajua nje ndani na hakutaka kuwalazia damu.
Kwa kuongezea ni kama umesahau
1. Ni kama kuna shetani pia ndani ya kanisa maana tofauti na anachokihubiri hukwa Rukwa kajitwalia shamba la Nafko huku walalahoi wakipiga miayo.

2. Umesahau huyo Membe alikula chimbo na pesa za Libya hadi kuzungumkuti.

3. Nape anaamini kuzaliwa ndani ya chama abayo hati miliki ya kuwa waziri hajui kila mtazania ni zao la chama mboga.

So hizi kelele zote zina mizizi ambayo Magufuli alikuwa bado anaichimba wakamkatisha kabla hajawaweka sawa. Wote hawa ni naweza kusema tu ogopa wahuni
 
Kwa kuongezea ni kama umesahau
1. Ni kama kuna shetani pia ndani ya kanisa maana tofauti na anachokihubiri hukwa Rukwa kajitwalia shamba la Nafko huku walalahoi wakipiga miayo.

2. Umesahau huyo Membe alikula chimbo na pesa za Libya hadi kuzungumkuti.

3. Nape anaamini kuzaliwa ndani ya chama abayo hati miliki ya kuwa waziri hajui kila mtazania ni zao la chama mboga.

So hizi kelele zote zina mizizi ambayo Magufuli alikuwa bado anaichimba wakamkatisha kabla hajawaweka sawa. Wote hawa ni naweza kusema tu ogopa wahuni
Hiyo namba 2 nakusilimishwa juu anaitwa nani vile!
 
Hao wote uliowataja ni watu wa fursa. Huyo kiongozi wa dini ye alifungua hadi benki. Alichukua mashamba ya wananchi kibaha.

Huyo Nape ye huwa anaamini ana hisa kwenye hii nchi.

Huyo wassira ye huwa anaamini anatakiwa awepo madarakani nyakati zote. Alitakaga kupigana na esther bulaya jimboni baada ya kugalagazwa uchaguzi 2015.

Huyo Membe alifungua hotel mtwara na hakuwahi kulipa kodi. 2016 TRA wakapiga utepe mwekundu hotel.
Ana shutuma ya kupiga bill 200 zilizotolewa na serikali kwa ajili ya mchakato wa kuanzisha kiwanda cha cement lindi.

Diallo ye aliamini ukiwa ccm basi we vunja sheria tu. Magu akamfundisha utaratibu wa kuishi hasa unapokuwa kiongozi ili uwe mfano kwa wengine. Alipodaiwa kodi ikawa shida.

Hawa wote Magu aliwajua nje ndani na hakutaka kuwalazia damu.
Bora limekufa litoa hongo ya madaraka liuwaji jizi litekaji na aoze milele.
 
Back
Top Bottom