Faka25
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 1,738
- 1,134
Wewe endelea na furahaSisi furaha yetu ni kuwa dhalim hayupo tena kwenye uso wa dunia hii na kamwe hatarudi tena kuleta ushenzi na ushamba wake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe endelea na furahaSisi furaha yetu ni kuwa dhalim hayupo tena kwenye uso wa dunia hii na kamwe hatarudi tena kuleta ushenzi na ushamba wake
Msiopenda umoja na utengamano mnateseka sana.Chama cha majitu yasiyo na msimamoView attachment 2250707
Anawapa wapinzani asali ili wasiseme mapungufu yaliopo kweli bibi fundiAmealikwa haigizi
Bora anaewapa asali kuliko aliyekuwa anawawinda kuwaua..Anawapa wapinzani asali ili wasiseme mapungufu yaliopo kweli bibi fundi
Nyalandu,Diallo and Membe are all opportunist,They have never been important leaders in Tanzania and never will they be.Nyalandu anasema aliondoka CCM kwasababu kuna mambo hayakuwa sawa. Lakini sasa tunaona rais anahudhuria mpaka hafla za wapinzani. (Source:. StarTV Medani za Siasa muda huu).
Wazee wa legacy mpo? Wengi wanamsema mungu wenu.
* Mzee Diallo...tulikuwa na rais aliyepaswa kuwa Milembe.
" Zitto Kabwe... Magufuli alichoma shamba langu la korosho Mtwara.
- Askofu Mwingira kulikuwa na shetani ikulu.
- Nape Nnauye.. Mungu ameamulia ugomvi
- Mzee Wasira... Watanzania sasa wamepumua
- Membe...watanzania hawatekwi tena wala maiti haziokotwi kwenye viroba.
Kweli ukicheza na siasa unaweza to get away with murder...., Anahudhuria hafla za wapinzani (get a photo shoot) wakati wangine wanapangiwa ubalozi, kazi maalumu na kupigwa propaganda ili wajiuzulu ? Huku wasimamia serikali wamegeuka cheerleaders wa kusifia na kuimba mapambio..., Badala ya kutatua changamoto na kutumia muda ni vipi tutaondoa madudu tunatumia muda kuonyesha ni vipi tunatenda vema kuliko hapo nyuma ambapo alikuwa hatendi mema (tunasahau wengine ni sisi sisi tulikuwepo hapo nyuma)Nyalandu anasema aliondoka CCM kwasababu kuna mambo hayakuwa sawa. Lakini sasa tunaona rais anahudhuria mpaka hafla za wapinzani. (Source:. StarTV Medani za Siasa muda huu).
Na mie nimejiuliza hivyo hivyo. Mbowe mwenyewe wanachama wake wameanza kumkacha. Ni kwamba wameelewana wenyewe wanasiasa baada ya kupeana vijiko vya asali.
... that is the most important fact of all times!Sisi furaha yetu ni kuwa dhalim hayupo tena kwenye uso wa dunia hii na kamwe hatarudi tena kuleta ushenzi na ushamba wake
Msimseme vibaya malaika mkuu aliyeko jehanum muda huuNyalandu anasema aliondoka CCM kwasababu kuna mambo hayakuwa sawa. Lakini sasa tunaona rais anahudhuria mpaka hafla za wapinzani. (Source:. StarTV Medani za Siasa muda huu).
Wazee wa legacy mpo? Wengi wanamsema mungu wenu.
* Mzee Diallo...tulikuwa na rais aliyepaswa kuwa Milembe.
" Zitto Kabwe... Magufuli alichoma shamba langu la korosho Mtwara.
- Askofu Mwingira kulikuwa na shetani ikulu.
- Nape Nnauye.. Mungu ameamulia ugomvi
- Mzee Wasira... Watanzania sasa wamepumua
- Membe...watanzania hawatekwi tena wala maiti haziokotwi kwenye viroba.
Mwenyezi Mungu analipenda sana Taifa letu Kwa kile alichotufanyia tarehe 17/03/2021Mimi niliwahi kuambiwa na mtu mkubwa hasa wa vyombo vya ulinzi na usalama ambaye karibia kila siku alikuwa akiwasiliana na Magufuli.
Alisema hivi, "Tunaongozwa na kichaa. Anaweza kuua watu, anaweza kuwafunga watu, siyo kwa sababu wana makosa bali kwa sababu ameamua tu kufanya hivyo". Maneno haya nilitakumbuka daima.
Halafu niliwahi kuambiwa na mtu ambaye alikuwa waziri kwenye Serikali ya Magufuli, "Waambie wanyaze tu kimya japo wanajua kuwa alichosema Rais ni uwongo. Huyu bwana kosa kubwa unaloweza kumfanyia, na hatakuacha, ni kumpinga au kukosoa alichotamka, hata kama ni uwongo".
Mm namkubali Sana magu achili mbali mambo yake ila show yake nimeielewaaHakuna mtu mwenye akili timamu atamsemea mazuri Mwendazake maana habebeki ila mburula ndio alikuwa mtu wao..
Vile akiwaigizia anakula mahindi basi walikuwa wanaona ni mnyongwe mwenzao [emoji1][emoji1]
Kaka umenena vyema khak ya munguHao wote uliowataja ni watu wa fursa. Huyo kiongozi wa dini ye alifungua hadi benki. Alichukua mashamba ya wananchi kibaha.
Huyo Nape ye huwa anaamini ana hisa kwenye hii nchi.
Huyo wassira ye huwa anaamini anatakiwa awepo madarakani nyakati zote. Alitakaga kupigana na esther bulaya jimboni baada ya kugalagazwa uchaguzi 2015.
Huyo Membe alifungua hotel mtwara na hakuwahi kulipa kodi. 2016 TRA wakapiga utepe mwekundu hotel.
Ana shutuma ya kupiga bill 200 zilizotolewa na serikali kwa ajili ya mchakato wa kuanzisha kiwanda cha cement lindi.
Diallo ye aliamini ukiwa ccm basi we vunja sheria tu. Magu akamfundisha utaratibu wa kuishi hasa unapokuwa kiongozi ili uwe mfano kwa wengine. Alipodaiwa kodi ikawa shida.
Hawa wote Magu aliwajua nje ndani na hakutaka kuwalazia damu.
Wapigaji wote hao. Wasira aliyasema hayo baada ya kukosa ubunge.Nyalandu anasema aliondoka CCM kwasababu kuna mambo hayakuwa sawa. Lakini sasa tunaona rais anahudhuria mpaka hafla za wapinzani. (Source:. StarTV Medani za Siasa muda huu).
Wazee wa legacy mpo? Wengi wanamsema mungu wenu.
* Mzee Diallo...tulikuwa na rais aliyepaswa kuwa Milembe.
" Zitto Kabwe... Magufuli alichoma shamba langu la korosho Mtwara.
- Askofu Mwingira kulikuwa na shetani ikulu.
- Nape Nnauye.. Mungu ameamulia ugomvi
- Mzee Wasira... Watanzania sasa wamepumua
- Membe...watanzania hawatekwi tena wala maiti haziokotwi kwenye viroba.
Yeye mwenyewe Jiwe alikuwa mwizi, mwongo, laghai, hafuati shetia wala katiba.Hao wote uliowataja ni watu wa fursa. Huyo kiongozi wa dini ye alifungua hadi benki. Alichukua mashamba ya wananchi kibaha.
Huyo Nape ye huwa anaamini ana hisa kwenye hii nchi.
Huyo wassira ye huwa anaamini anatakiwa awepo madarakani nyakati zote. Alitakaga kupigana na esther bulaya jimboni baada ya kugalagazwa uchaguzi 2015.
Huyo Membe alifungua hotel mtwara na hakuwahi kulipa kodi. 2016 TRA wakapiga utepe mwekundu hotel.
Ana shutuma ya kupiga bill 200 zilizotolewa na serikali kwa ajili ya mchakato wa kuanzisha kiwanda cha cement lindi.
Diallo ye aliamini ukiwa ccm basi we vunja sheria tu. Magu akamfundisha utaratibu wa kuishi hasa unapokuwa kiongozi ili uwe mfano kwa wengine. Alipodaiwa kodi ikawa shida.
Hawa wote Magu aliwajua nje ndani na hakutaka kuwalazia damu.
AmenMwenyezi Mungu analipenda sana Taifa letu Kwa kile alichotufanyia tarehe 17/03/2021
Acha walambe Asali bhn nchi ina wenyeweBora anaewapa asali kuliko aliyekuwa anawawinda kuwaua..
Wewe si upo unapiga mwanya ndio kazi yako sasa sema hayo mapungufu.
Utajua mwenyewe,hakuna mtu anapendwa na wote wala kuchukiwa na wote,hata Hitler anapendwa na baadhi ya watu.Mm namkubali Sana magu achili mbali mambo yake ila show yake nimeielewaa