Lazaro Nyalandu: Watanzania sasa wameunganishwa, hapa katikati tuligawanywa

Lazaro Nyalandu: Watanzania sasa wameunganishwa, hapa katikati tuligawanywa

Hao wote uliowataja ni watu wa fursa. Huyo kiongozi wa dini ye alifungua hadi benki. Alichukua mashamba ya wananchi kibaha.

Huyo Nape ye huwa anaamini ana hisa kwenye hii nchi.

Huyo wassira ye huwa anaamini anatakiwa awepo madarakani nyakati zote. Alitakaga kupigana na esther bulaya jimboni baada ya kugalagazwa uchaguzi 2015.

Huyo Membe alifungua hotel mtwara na hakuwahi kulipa kodi. 2016 TRA wakapiga utepe mwekundu hotel.
Ana shutuma ya kupiga bill 200 zilizotolewa na serikali kwa ajili ya mchakato wa kuanzisha kiwanda cha cement lindi.

Diallo ye aliamini ukiwa ccm basi we vunja sheria tu. Magu akamfundisha utaratibu wa kuishi hasa unapokuwa kiongozi ili uwe mfano kwa wengine. Alipodaiwa kodi ikawa shida.

Hawa wote Magu aliwajua nje ndani na hakutaka kuwalazia damu.
Magu je?
 
Nyalandu anasema aliondoka CCM kwasababu kuna mambo hayakuwa sawa. Lakini sasa tunaona rais anahudhuria mpaka hafla za wapinzani. (Source:. StarTV Medani za Siasa muda huu).

Wazee wa legacy mpo? Wengi wanamsema mungu wenu.

* Mzee Diallo...tulikuwa na rais aliyepaswa kuwa Milembe.
" Zitto Kabwe... Magufuli alichoma shamba langu la korosho Mtwara.
  • Askofu Mwingira kulikuwa na shetani ikulu.
  • Nape Nnauye.. Mungu ameamulia ugomvi
  • Mzee Wasira... Watanzania sasa wamepumua
  • Membe...watanzania hawatekwi tena wala maiti haziokotwi kwenye viroba.
Haaaah yule mzee alikua katili mno..?
 
Hawampi break yani, back to back!
 
Hao wote uliowataja ni watu wa fursa. Huyo kiongozi wa dini ye alifungua hadi benki. Alichukua mashamba ya wananchi kibaha.

Huyo Nape ye huwa anaamini ana hisa kwenye hii nchi.

Huyo wassira ye huwa anaamini anatakiwa awepo madarakani nyakati zote. Alitakaga kupigana na esther bulaya jimboni baada ya kugalagazwa uchaguzi 2015.

Huyo Membe alifungua hotel mtwara na hakuwahi kulipa kodi. 2016 TRA wakapiga utepe mwekundu hotel.
Ana shutuma ya kupiga bill 200 zilizotolewa na serikali kwa ajili ya mchakato wa kuanzisha kiwanda cha cement lindi.

Diallo ye aliamini ukiwa ccm basi we vunja sheria tu. Magu akamfundisha utaratibu wa kuishi hasa unapokuwa kiongozi ili uwe mfano kwa wengine. Alipodaiwa kodi ikawa shida.

Hawa wote Magu aliwajua nje ndani na hakutaka kuwalazia damu.
Nukuu nyengine: NCHI YETU IMECHEZEWA SANA! - JPM

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Hao wote uliowataja ni watu wa fursa. Huyo kiongozi wa dini ye alifungua hadi benki. Alichukua mashamba ya wananchi kibaha.

Huyo Nape ye huwa anaamini ana hisa kwenye hii nchi.

Huyo wassira ye huwa anaamini anatakiwa awepo madarakani nyakati zote. Alitakaga kupigana na esther bulaya jimboni baada ya kugalagazwa uchaguzi 2015.

Huyo Membe alifungua hotel mtwara na hakuwahi kulipa kodi. 2016 TRA wakapiga utepe mwekundu hotel.
Ana shutuma ya kupiga bill 200 zilizotolewa na serikali kwa ajili ya mchakato wa kuanzisha kiwanda cha cement lindi.

Diallo ye aliamini ukiwa ccm basi we vunja sheria tu. Magu akamfundisha utaratibu wa kuishi hasa unapokuwa kiongozi ili uwe mfano kwa wengine. Alipodaiwa kodi ikawa shida.

Hawa wote Magu aliwajua nje ndani na hakutaka kuwalazia damu.
Sisi wacha Mungu tunaendelea kumshukuru Mungu kwa uamuzi na matendo yake makuu
 
Wajiona wao ndo wanastahiri kuitafuna hii nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
We mtu anakwambia hakubaliani watu kutoka vyama vyengine kujiunga na CCM. Wengine ni mawaziri na wakuu wa Wilaya! Halafu KM CCM hakemei kauli kama hizi, kuonesha kwamba huyu Mtu hagusiki. Mtu ambae anajidanganya kwamba kama si yeye kuzunguka nchi nzima mpaka akaumia mkono basi CCM isingeshinda 2015!
Kwamba yeye na genge lake ndo wenye CCM. Utadhani wakati wa jpm hakuna uchaguzi au kikao kilichofanyika. Haiwezekani kwamba Magu alikuwa anafanya maamuzi peke yake.
Mtu anamkashifu Rais na tulisikia waziwazi, leo anarudishwa kuwa Waziri!

Muda utasema

Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
 
Haaaah yule mzee alikua katili mno..?
Hujawahi kujiuliza kwann ukatili wa yule Mzee unazungumziwa na wanasiasa, wenye vyeti feki and the likes na watu wa mitandao ambao 99% hawajawahi kuuona ukatili wa yule mzee zaidi ya kusimuliwa na hayo ma group hapo juu then nao wana yakuza?

Huku uswahilini sijawahi kuskia malalamiko ya watu dhidi ya Chuma.
Unakuta mtu anampin JPM na kifo cha Akwelina bt anakwepa kumpin JK na kifo cha mwandishi wa habari kule mbeya na yule dogo kule Arusha. Ana mpin JPM na Utekaji bt anakwepa issue ya Ulimboka, watu wana sahau Pinda once said wapigwe tu na wakapigwa kweli.

I have lost a classmate mwaka jana mwishoni, alikua kiongozi cdm, alipotea akapatikana sekotoure mochwari bt no one si pining it on mum(double standard).

Anyway JK once said, uthirithi adui wa mtu na mimi kwa akili zangu timamu nimegoma kurithi adui za hayo makundi hapo juu.
 
Back
Top Bottom